TANGAZO TANGAZO TANGAZO TANGAZO TANGAZO TANGAZO TANGAZO TANGAZO TANGAZO TANGAZO TANGAZO TANGAZO TANGAZO TANGAZO TANGAZO TANGAZO
HARMONIZE ATOKOMEA NA MILIONI 23++ ANADAI AMEFULIA VIBAYA ANATAKA YA KUFUNGIA HARUSI.
PROMOTA WA SHOO KATANGAZA HALI YA HATARI KWA HARMONIZE KWAMBA ATAJAZWA MTU MIMBA...
Wenye tabia ya kujichubua hivyo mara nyingi ni makabira ya kusini wakija dar wanawehuka hivyo asilimia yahn anajichubua usoni mweupe kuanzia shingoni kushuka chini ni shidah...
Vyote havifai kujichubua kuna madhara na kuongeza chura pia kuna madhara...tujifunze kulizika na tulochojaaliwa na...
Kwa hivyo SISI UKITEMBEA uchi tukakuona barabarani tunafaidika nini zaidi ya wewe tu kujidhalilisha na kujazwa mimba na waliokutamani na mwisho wa SIKU kutelekezwa na kuwa SingleMama. Nilikuwa sijui kumbe mnaonesha uchi sababu mnahisi msipoonyesha mnakuwa wachoyo. Wanawake akili hamna .
Wakisema waje wanawake watakatifu hapa Cha kwanza utawatambua kwa kigezo kipo kama sio mavazi.
Unawezaje SEMA unamtumikia Mungu alafu HUNA tofauti na Malaya.Hiyo ya moyoni ni uwongo kama ameshindwa ya nje ya moyoni ataweza kujirekebisha.
Mkuu hapo fanya kama hauna mke ishi kama mjinga tu mwache afanye anachotaka shughulika na watoto wako tu. Lala kitanda kimoja akikupa asipokupa poa ila jitafutie kamchepuko ka uhakika maisha yataenda usitake kushindsna na mwanamke ATAKUPA msongo wa mawazo Bure hata akitaka kuondoka mwache...
Mungu ni zaidi ya Sayansi.Mungu hapimwi kwa Sayansi. Ndiyo maana hao wanasayansi wanasema Mungu HAYUPO.
Hakuna scientific investigation inayoonyesha Mungu yupo. Ila watu wanajua Mungu yupo.
Sasa ukijitoa akili ukawafuata hao wanasayansi utakuta na wewe unasema Mungu HAYUPO sababu unatafuta...
Ukisoma Biblia vizuri KUHUSU habari ya Nuhu na Dunia nzima ilivyoangamizwa kwa gharika mwishoni baada ya ardhi kukauka Nuhu alimtolea Mungu sadaka na Mungu akapendezwa nayo akafanya agano na kiapo na Nuhu KWAMBA hatakaa aje aangamize Dunia tena kama alivyofanya.
Hapo Mungu akasema “Moyo wangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.