Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 17,796
- 32,148
Habari wana JF
Ni matumaini yangu hamjambo wote mnaendelea vizuri. Kwangu mimi kuna suala lanitatiza kidogo hapa.
Et wanaume wezangu baada ya sex ni lazima kumpa mwanamke hela au demu wako unayempenda?
Kwangu naona kama nikimpa hela kwa muda huo naona kama anajiuza kwangu yaani kama nimelala na wafanyabiashara wa ngono.
Nimekuwa na desturi ya kutotoa hela baada ya sex lakini watu ninaokutana nao wanalalamika eti hata hujanipa hela.
Nisaidieni hapo
Ni matumaini yangu hamjambo wote mnaendelea vizuri. Kwangu mimi kuna suala lanitatiza kidogo hapa.
Et wanaume wezangu baada ya sex ni lazima kumpa mwanamke hela au demu wako unayempenda?
Kwangu naona kama nikimpa hela kwa muda huo naona kama anajiuza kwangu yaani kama nimelala na wafanyabiashara wa ngono.
Nimekuwa na desturi ya kutotoa hela baada ya sex lakini watu ninaokutana nao wanalalamika eti hata hujanipa hela.
Nisaidieni hapo