Kwanini wanaume mmepunguza kuhonga?

Kwanini wanaume mmepunguza kuhonga?

Zamani kulikuwa na kitobo leo MATOBO aka two in one unaanzaje honga😂😂
 
Tusamehe bure we mwanamke Kwani leo wanaume tumekukosea nini?

Kwahiyo kila tukikulala unataka nyumba?
 
Jamani wana jf.

Nawapenda tena nawapenda sana.

Kwanza nianze na kukasirika kama kuna watu wanajifanya wanajijua vile eti Herufi kubwa wewe jinsia gani niseme tu haiwauhusu.

Sasa naomba nianze na mada yangu jioni ya Leo Hivi kwanini wanaume wa leo mmepunguza kuhonga jamani.

Miaka ile wanaume wenzenu walikuwa wanahonga hadi nyumba eh labda tuseme nyumba kitu kidogo wakina Harmonize wanahonga hadi range.

Hakuna kitu inauma eh mwanaume anakulala halfu et anakuachia ka Elfu 50 na mabusubusu kedekede ,

Yaani mapigo ya moyo yanaenda mbio sana leo hii mwanaume kukupa hata Hela ya vocha Hamna tena hata elfu 10 jamani.

Kiukweli wanaume tunawapenda ila upendo umepoa maana hamuongi tena
,Nyie ndo wakwanza kutusumbua kwa dm sasa sisi mb Twatoa wapi, outing mnatupeleka mlimani city kweli jamani tena unakuta unaenda kwa mwanaume anakupandisha daladala sasa atapata mapenzi kweli.

Mara ooh maisha magumu ,mara ohh sijui sina hela sasa nawauliza mbona mmepunguza kuhonga ila nabado mnatusumbua
Tumegundua maendeleo ni fursa muhimu kuliko kukesha kuhomga,sasa angalia toka tumeacha au kupunguza kuhomga jinsi majumba mazuri yanajengwa,kuhonga zilipendwa
 
Kwamba vocha unapata wapi?? Hii dunia yani hadi vocha huwezi nunua heheh sasa wewe na matonya tofauti nini?
 
Jamani wana jf.

Nawapenda tena nawapenda sana.

Kwanza nianze na kukasirika kama kuna watu wanajifanya wanajijua vile eti Herufi kubwa wewe jinsia gani niseme tu haiwauhusu.

Sasa naomba nianze na mada yangu jioni ya Leo Hivi kwanini wanaume wa leo mmepunguza kuhonga jamani.

Miaka ile wanaume wenzenu walikuwa wanahonga hadi nyumba eh labda tuseme nyumba kitu kidogo wakina Harmonize wanahonga hadi range.

Hakuna kitu inauma eh mwanaume anakulala halfu et anakuachia ka Elfu 50 na mabusubusu kedekede ,

Yaani mapigo ya moyo yanaenda mbio sana leo hii mwanaume kukupa hata Hela ya vocha Hamna tena hata elfu 10 jamani.

Kiukweli wanaume tunawapenda ila upendo umepoa maana hamuongi tena
,Nyie ndo wakwanza kutusumbua kwa dm sasa sisi mb Twatoa wapi, outing mnatupeleka mlimani city kweli jamani tena unakuta unaenda kwa mwanaume anakupandisha daladala sasa atapata mapenzi kweli.

Mara ooh maisha magumu ,mara ohh sijui sina hela sasa nawauliza mbona mmepunguza kuhonga ila nabado mnatusumbua
Tumegundua maendeleo ni fursa muhimu kuliko kukesha tunahonga,sasa angalia toka tumeacha au kupunguza kuhonga jinsi majumba mazuri yanajengwa,kuhonga zilipendwa
 
Kuanzisha uhusiano na mwanamke tegemezi ni mtihani mkubwa sana.

Wengi hukimbilia ushirikina kumpumbaza Mwanaume afanye atakavyo.

Na ndio vivuruge wa ndoa za watu.!
 
Kwanza nianze na kukasirika kama kuna watu wanajifanya wanajijua vile eti Herufi kubwa wewe jinsia gani niseme tu haiwauhusu.


Story kweli: Nilivyoweza kuwa malaya niliyekubuhu
 
Jamani wana jf.

Nawapenda tena nawapenda sana.

Kwanza nianze na kukasirika kama kuna watu wanajifanya wanajijua vile, eti herufi kubwa wewe jinsia gani, niseme tu haiwauhusu!

Sasa naomba nianze na mada yangu jioni ya leo, hivi kwanini wanaume wa leo mmepunguza kuhonga jamani? Miaka ile wanaume wenzenu walikuwa wanahonga hadi nyumba, eh labda tuseme nyumba kitu kidogo. Wakina Harmonize wanahonga hadi Range!

Hakuna kitu inauma mwanaume anakulala halafu eti anakuachia ka elfu 50 na mabusubusu kedekede. Yaani mapigo ya moyo yanaenda mbio sana, leo hii mwanaume kukupa hata hela ya vocha hamna, tena hata elfu 10 jamani.

Kiukweli wanaume tunawapenda ila upendo umepoa maana hamuongi tena. Nyie ndiyo wa kwanza kutusumbua kwa dm, sasa sisi mb twatoa wapi? Mitoko mnatupeleka Mlimani City kweli jamani, tena unakuta unaenda kwa mwanaume anakupandisha daladala sasa atapata mapenzi kweli?

Mara ooh maisha magumu, mara ohh sijui sina hela, sasa nawauliza mbona mmepunguza kuhonga ila na bado mnatusumbua?

Acha Kuuza hilo CHOGO ulipewa bure
 
Jamani wana jf.

Nawapenda tena nawapenda sana.

Kwanza nianze na kukasirika kama kuna watu wanajifanya wanajijua vile, eti herufi kubwa wewe jinsia gani, niseme tu haiwauhusu!

Sasa naomba nianze na mada yangu jioni ya leo, hivi kwanini wanaume wa leo mmepunguza kuhonga jamani? Miaka ile wanaume wenzenu walikuwa wanahonga hadi nyumba, eh labda tuseme nyumba kitu kidogo. Wakina Harmonize wanahonga hadi Range!

Hakuna kitu inauma mwanaume anakulala halafu eti anakuachia ka elfu 50 na mabusubusu kedekede. Yaani mapigo ya moyo yanaenda mbio sana, leo hii mwanaume kukupa hata hela ya vocha hamna, tena hata elfu 10 jamani.

Kiukweli wanaume tunawapenda ila upendo umepoa maana hamuongi tena. Nyie ndiyo wa kwanza kutusumbua kwa dm, sasa sisi mb twatoa wapi? Mitoko mnatupeleka Mlimani City kweli jamani, tena unakuta unaenda kwa mwanaume anakupandisha daladala sasa atapata mapenzi kweli?

Mara ooh maisha magumu, mara ohh sijui sina hela, sasa nawauliza mbona mmepunguza kuhonga ila na bado mnatusumbua?
Nenda kajitongozeshe kwa harmonize akuhonge range, wengine tunamiliki tonda range la kukuhonga hatuna.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom