Yaani kazi snapatikana alafu unalalamika maisha magum njoo tegeta huku uone watu wanaponda kokoto na wateja hakuna.sehemu ngum kuish ni africa tu ukisurvive africa hakuna nchi utashindwa kuishi.tena ww n mjinga umeenda kwa ndg yako then unarud ?kuna watu wanaenda kwa kuforce wapo huko na...
Haya mambo yana pande mbili zote n ttzo boss wa kiswahili ni shida sana unakuwa royal sna biashara ikisimama anaanza dharau na kuamini huna pakwenda.nilifanyakaz sehemu nikawa mwema sna wenzangu wakichukua nawazuia,biashara nikaona kama yng at the end nikajakuambiwa mm ndio mwizi...
Umeandika vizuri sana.
Niliwah kupoteza 15m kwenye biashara flani hivi
Ujasiri ndio ulinisaidia hama arusha fanya unavoweza nenda dar au dodoma utanishukur cku moja.
Niliwahi kwenda kwa hyo tapeli siunajua tena ukikwama unajaribu kila njia ya kujiokoa muda wa ushuhuda kuna mama akatoa ushuhuda eti amepona ukimwi nilikimbia hadi ubongo mataa ndio nikasimama ili ninywe maji.
Kima cha chini 850000 alafu punguzeni masaa ya kazi kutoka 8-6,mfumo wa likizo niwakikoloni watu waanze kwenda likizo kila baada ya wiki 6 anapumzika wiki 2.watu washateseka sana oneni aibu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.