chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 7,581
- 15,713
Sikatai kuna tatizo la ajira lakini ukirudi nyuma tatizo la ajira linakuja kwa upande fulani watu kufanya ajira kukosekana kwa mambo haya.
Mchango mkubwa ajira hupo kwenye sekta binafsi na watu binafsi.
Hizi sehemu sio kwamba zinashindwa kupanua wigo mkubwa ajira bali ni kutokana na changamoto za watu kwenye ajira wanavyo ziwekea ugumu.
Nazungumzia hili ni moja ya wahaanga niliyependa kufungua ofisi zaidi ya mbili na kuajiri vijana wapige kazi na wapende ofisi kama yao,ila kilichotokea ni kuharibu ofisi mpaka kupelekea kufunga.
Sasa leo utaniambia nifungue ili niajili tena, hapo uwezi kufungua ni bora kubaki na ofisi moja.
Ugumu wa ajira unasababisha wengine wasiongeze wigo wabishara kuajiri kutokana na msingi mbovu wa watu wanaopelekea ajira kupungua.
Ajira kuwa ngumu kuna tokana na haya:
*Tamaa ya kufanikiwa haraka kwenye ajira uliyopata.
*Kutothamini ajira uliyopata
*Kutokuwa na uvumilivu
*Kufanya biashara yako ndani ya biashara uliyoajiriwa.
*Wizi na udokozi
*Kutokuwa na ushirikiano
Haya mambo nayo yataja ndiyo ya mesababiaha watu wengi kukosa ajira na wengine kuwa wahaanga wa ukosefu wa ajira.
Mchango mkubwa ajira hupo kwenye sekta binafsi na watu binafsi.
Hizi sehemu sio kwamba zinashindwa kupanua wigo mkubwa ajira bali ni kutokana na changamoto za watu kwenye ajira wanavyo ziwekea ugumu.
Nazungumzia hili ni moja ya wahaanga niliyependa kufungua ofisi zaidi ya mbili na kuajiri vijana wapige kazi na wapende ofisi kama yao,ila kilichotokea ni kuharibu ofisi mpaka kupelekea kufunga.
Sasa leo utaniambia nifungue ili niajili tena, hapo uwezi kufungua ni bora kubaki na ofisi moja.
Ugumu wa ajira unasababisha wengine wasiongeze wigo wabishara kuajiri kutokana na msingi mbovu wa watu wanaopelekea ajira kupungua.
Ajira kuwa ngumu kuna tokana na haya:
*Tamaa ya kufanikiwa haraka kwenye ajira uliyopata.
*Kutothamini ajira uliyopata
*Kutokuwa na uvumilivu
*Kufanya biashara yako ndani ya biashara uliyoajiriwa.
*Wizi na udokozi
*Kutokuwa na ushirikiano
Haya mambo nayo yataja ndiyo ya mesababiaha watu wengi kukosa ajira na wengine kuwa wahaanga wa ukosefu wa ajira.