Recent content by Amocnolo

  1. Amocnolo

    Dini imekuwa manukato kila mahali inanukia

    Sasa hivi watu wanamuacha Mungu, wanabishana kuhusu dini ya kweli. Kuishi Mungu anavyotaka ni rahisi sana, fuata amri 10 alizotupatia Musa hapo utaishi vizuri kabisa. Achana na hizi dini maana dini ni biashara za watu, ukifuata sana dini utamuacha Mungu. Vitabu vipo tusome tuelewe na sio...
  2. Amocnolo

    Wanasheria naombeni msaada wenu

    mabadiliko yalifanyika 2019 na kwa pssf
  3. Amocnolo

    Wanasheria naombeni msaada wenu

    sasa tunamaliza vipi hapo
  4. Amocnolo

    Wanasheria naombeni msaada wenu

    hapana mkuu mimi ni mjumbe
  5. Amocnolo

    Wanasheria naombeni msaada wenu

    wanafamilia moja wamekuja kwangu wanataka wagawane mali walizochuma ndipo nikaomba kujua historian yao hadi kufikia hapo, ipo ivi. Ilikuwa 2018 mahusiano yao yalianza na wakati huo mwanaume alikuwa anafanya kazi kwenye kampuni moja aliajiriwa, ilipofika 2019 alifukuzwa kazi na kipindi chote...
  6. Amocnolo

    Hospitali za Serikali mna nini?

    Ndugu jamaa na marafiki kama na nyie limewakuta hebu tuambiane nini tatizo maana kila nikienda kupima maralia kwenye hizo HOSPITALI naambiwa sina maralia wakati nikijiangalia ninaumwa kweli. Naamua kwenda maabara au hospitali binafsi, huko napatiwa tiba kisha narudi nikiwa na amani. Jana usiku...
  7. Amocnolo

    Tetesi: Chukueni hii ya Moto Moto kabisa. Inonga, Kapombe, Chama, Manula na Baleke miamala yao ilisoma mapema sana

    ivi tangu chama aje Simba alikuwa anacheza no ngapi? achen utani simba mwalimu hatuna maana hata All ahly wa msimu huu ni wabovu lakini tumeshindwa kuwafunga, mwalimu anakazania na mfumo wake wa 4.2.3.1 wakati hana watu wa aina hiyo. basi kama umeamua kumchezesha chama pembeni basi tumia 4.3.3...
  8. Amocnolo

    Sifa za husband material

    iyo namba 4 na 7 zimenishinda aisee
  9. Amocnolo

    Mipango yako inakwama? Hizi ndizo sababu kuu then badilisha mwenendo wako

    fafanua vizuri huenda hawajakuelewa hiyo sadaka wampe Nani? mana wasije wakampa Padre au mchungaji. Sadaka mpe yule asiejiweza na kumpa njia ya kutafuta pesa yule asie na kazi. Lakini hapo kwenye zaka me sipo.
  10. Amocnolo

    Ukweli ulivyo

    Binadamu ni kiumbe wa hovyo sana yaan yupo tayari kukuombea mabaya wewe anaekufahamu na kumuombea mafanikio yule asiemfahamu. Anapopatwa na shida anakuja kwako umsaidie umsaidie kwakua anajua wazi yule asiemfahamu hawezi kumsaidia kwakua hamfahamu. hebu tubadilikeni jamani maana hayo sio...
  11. Amocnolo

    Ukweli ulivyo

    ni kuwapa elimu bila kuchoka
Back
Top Bottom