Docta Nijib yani ninapata shda maana nikiamka hasubuhi mkojo ukiwa umenibana tumbo linauma kana kwamba kwenye kibof kuna uvmbe au kidonda na ila nikikojoa tu maumivu yanapungua na kwenye uume huku mbele kunakama viuvimbe vya vinyama vya maji
ninatatizo docta yani ikifika asubuhi saa12 asubuhi nikiwa mkojo umenibana yani tumbo linakuwa linauma sana halafu mbele kwenye uume ndani ya ule mrija wakutoa mkojo kuna viuvimbe kama vile vinyama vya maji nilienda hospitali kupima ultra sound wakasema cna uvimbe cjui nifanyeje docta
ninauwezo mkubwa sana wa kutengeneza chai masala lakini nashindwa kuingiza sokoni kwa sababu ya viofungashio na elimu juu ya hii biashara na ukizingatia hii bidhaa ni bora sana na ni ya asili pia ni tiba juu ya magonjwa yafuatayo
1]HOMA YA MATUMBO
2]HOMA YAMANJANO
3]MAPIGO YA MOYO
4]HUONGEZA...
Jamani ninataka kufungua bakery nimepata changamoto ya vifungashio kwa yeyote anayefanya biashara hii ya vifungashio anitafute ninashida hiyo sana kwa sasa
Naomba sana msaada wenu asanteni
Hii biashara siyo ya kuwekea masihara kabisa unaweza kufanikiwa kirahis xana japo kuna watu wanaweka mzaha na kuidharau
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani naomba msaada wenu ninabiashara ya maharage je nfanyeje ili kupata wateja katka sehemu za mashule hapa kahama mjini naomba msaada wenu wadau asanteni sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.