Recent content by Amini Mnyakulutanana

  1. A

    Misemo inayoandikwa kwenye vyombo vya usafiri, we acha tu!

    "Raha ya nanga baharini ukiweka mtoni inashikwa na tope" Sent using Jamii Forums mobile app
  2. A

    Misemo inayoandikwa kwenye vyombo vya usafiri, we acha tu!

    "Vikao vya masikini lawama tupu" Sent using Jamii Forums mobile app
  3. A

    Hivi hawa Tecno mnawaelewa?

    Duuuh komaa Mkuu nunua Samsung Tecno sio bali ni calculator.
  4. A

    Gari lingine serikali laua mtoto kibaha.

    Mmh madereva wa Gari za serikali wengi wao wanakimbia sana na gari na kupelekea kutokuwa makini. Tarehe 9 October nilliongozana na DFP cruiser had top (ambulance) ya simiyu hakuwa na mgonjwa. Maeneo ya Hungumalwa jirani na njia panda ya Kwimba. Daah speed 120 barabara yenyewe ina Matege...
  5. A

    Hivi kiafya unatakiwa kupata haja kubwa mara ngapi kwa siku?

    Mara 2 kwa siku kwa mtu anekula mlo kamili . Chini ya hapo maana yake huli mlo wa kutoshereza na zaidi ya hapo maana yake umekula hovyo( mlafi)(
  6. A

    Tanzania haimo kwenye nchi 50 zenye amani

    Parapanda italia. song! By Roma!
  7. A

    KOROGWE : Trafiki aliyempiga dereva wa basi matatani

    Duuuh! Na utu uzima huu napigwa na mtu mzima kama mimi. Hata awe bosi wangu huyo nakufaa nae. kwa Mhehe lijali toka Iringa Mkwawa hajanifundisha hivyo.
  8. A

    Picha ya Rais maofisini

    Hiyo yangu yenyewe haipo niweke ya nani na ili iweje!
  9. A

    Msemaji wa Serikali: Tutatoa tamko taarifa ya ubalozi kuhusu masuala ya ndani ya nchi

    Hahaha! Tuwawekee vikwazo vya kiuchumi USA?? Okey umesomeka! Mzee!!
  10. A

    TANZIA Amri Athuman (King Majuto) afariki dunia akiwa hospitali ya Taifa Muhimbili

    OOOh! Ni huzuni mweeh the king of the comedy Tz . Rest in peace Babu .
  11. A

    Suzuki Escudo v/s Suzuki Vitara

    Suzuki Escudo ni matata sana Mkuu
  12. A

    Waliojenga Karakana ya UDART Jangwani hivi kweli walijipanga?

    Wamachinga walofukuzwa pale na watu wa NEMC kwa kigezo cha Eneo oevu hivyo haitakiwi kufanyika shughuli yeyote ya binadamu! Cha ajabu mwendo kasi wakajenga na hao NEMC wala hawakuwazuia. Pia hakuna asiyejua kuwa pale huwa yanajaa maji! Malipo yanaanzia hapahapa duniani : Now wameisoma namba!
Back
Top Bottom