Recent content by Aminem Tz

  1. A

    Ni harufu ya kawaida au matatizo mengi siku hizi

    Siku ya Kwanza kusikia iyo halufu niliisi kutapika
  2. A

    Tuwe wakweli tuache unafki, Kuna wanawake ambao beki zinakaba ukiwakazia ?

    Mimi nipo tofauti Sana siwezagi Ayo Mambo ya kukazia
  3. A

    Siri Imefichuka! Yesu Kristo sio Nabii Isa

    Mungu was kweli Ni yule ajazaa Wala ajazaliwa unaposema yesu Ni mwana wa mungu ni wazi kwamba mungu ana mke au Na Kwanini awe mwana wa mungu alafu awe mungu
  4. A

    Tuwe wakweli tuache unafki, Kuna wanawake ambao beki zinakaba ukiwakazia ?

    Mwanamke Kama ajakukubali ndugu yangu ata uwe unachekesha Kama kingwendu kazi bure bola ukate tamaa Kama unaona dalili za kukataliwa sababu itakusaidia kutuza fedha zako Mwanamke anaelekea kukubali anaonekana mwazo kabisa wakati unamtongoza
  5. A

    Mashabiki wa Yanga walifuata nini uwanja wa Mkapa wakati Serikali inaongea na viongozi wao, mbona utoto mwingi sana?

    Yanga hapana Mimi Kuna mshikaji wangu nilimwambia yanga Ni timu ya Kina mama na watu wasiojielewa ila bado mbishi
  6. A

    Rafiki yangu ChartGPT

    Niliwai kumuuliza chatgpt wewe Ni jinsia gani alinijibu Mimi Ni robot nimekuja kuwasaidia watu kwahiyo Sina jinsi yoyote si mwanaume Wala si Mwanamke
  7. A

    Usimbembeleze mwanamke anayekukataa, Wala usimuhudumie

    Mwanamke uwaga nambeleza mala mbili tu zaidi ya hapo sinaga habali nae wanawake wenye malingo Sana ukienda kuxxxx unakuta akuna hata alichokuwa anakilingia hana
  8. A

    Wanaume tupunguze au kuacha kabisa kuhonga

    Mwisho wangu kumpa Mwanamke ela Ni Tsh 10,000/= Tena Ni kwa mwezi maisha ya kuhonga nilishaachanaga nayo Kuna Mwanamke wangu alikuwa anaumwa Kila kitu galama za hospital nilikuwa na galamia Mimi lakini akaja kunipiga down
  9. A

    Mimi ni Mkristu ila nimeamua kukiri kwa ridhaa yangu kua Uislamu ndio dini ya haki ya mwenyezi Mungu

    Sawa endelea kutukana yaani wewe uzini uwibe utapeli watu udanganya watu alafu eti mungu wenu yesu anasema anakufa na kuwondoka na dhambi zenu wote mmmh soma vizuri Bible yako mzee uwone jinsi gani inavyokudanganya mungu gani ametoka sehemu ambayo ata wewe umetoka mungu gani anakwenda chooni...
  10. A

    Mimi ni Mkristu ila nimeamua kukiri kwa ridhaa yangu kua Uislamu ndio dini ya haki ya mwenyezi Mungu

    Alafu nimejuwa kitu kimoja wewe dini kichwani una yaani uwo ukristo wenu wala ujautambua vizuri kiufupi nabishana na mtu ambaye hata dini yake aitambui
  11. A

    Mimi ni Mkristu ila nimeamua kukiri kwa ridhaa yangu kua Uislamu ndio dini ya haki ya mwenyezi Mungu

    Uliona wapi msikiti ukatoa mapepo yakaja kwenu acha uchawi mungu Ni mmoja hapa duniani mungu ashindwi na chochote ata angetaka Binadamu waamini dini moja alafu nyengine azifute Wala asingeshindwa na chchote kwani yeye Si ndio muweza wa kila kitu ndugu yangu peponi utaisikia kanisani tu lakini...
  12. A

    Mimi ni Mkristu ila nimeamua kukiri kwa ridhaa yangu kua Uislamu ndio dini ya haki ya mwenyezi Mungu

    Shauli lako wewe baki hapo hapo kusema ndio njia na kusingizia uslam Ni ushetani wakati nyinyi wakristo ndio mnaongoza kutoa mapepo kanisani Kila jumapili Sasa sijuwi yataisha lini kabla ujazaliwa wewe babu zako walikuwa wanatoa mapepo mbaka leo bado mnatoa
  13. A

    Mimi ni Mkristu ila nimeamua kukiri kwa ridhaa yangu kua Uislamu ndio dini ya haki ya mwenyezi Mungu

    Ukristo sio dini kwa sababu ukienda malekani unakutaka biblia imeandikwa kizungu au ukienda nchi yoyote ile utakuta Bible imendikwa kwa nnchi usika ata ukija Tanzania Bible imendikwa kwa kiswahili lakini kitabu cha kislamu ukienda duniani kote maandishi Ni yale Yale na kitabu Ni kile kile akuna...
  14. A

    Leo nimemfukuza mpangaji wangu kwa tatizo lake la kuleta wanawake tofauti nyumbani kwangu na kusababisha usumbufu kwa wapangaji wengine

    Weka bodi mzee akuna sauti itakayotoka ukiona sauti inatoka njee Basi juwa nyumba yako ipo Chini ya viwango
  15. A

    Nafuu tusiwe na utambulisho kuliko singeli kuwa utambulisho wa muziki wa Tanzania

    😁😁😁 Wewe mwenyewe bila ngono ungekuwa hapo bhana acha mambo yako bhana au Kuna utofauti ya tendo ambalo linafanyika kwenye ndoa na linalofanyika njee ya ndoa
Back
Top Bottom