Mbunge wetu wa Arusha ameendeleza vituko baada ya kupiga risasi hewani muda huu hapa jijini Arusha kutoka kilipo kituo cha polisi mpaka alipo pigia risasi ni mita kama Mia tano kisa ni baada ya kukutana na msafara wa ccm hali ya chadema ni mbaya sana Arusha na hizi fujo za lema zinaharibu zaidi
Serukamba ajipendekeza kwa zito amwachie Jimbo kwa sababu kigoma mjini hawamtaki kwa kuwalazimisha wampe EL kura wakati anaefaidika na pesa za zakaria za kukwepa kodi ni yeye! Na lengo la pili kuhakikisha EL aningia ikulu ili apate namna ya kurudisha pesa anazopewa na wadhamini wake!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.