Kitakachotokea kesho bungeni

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
46,991
144,327
Kwa hali ninavyoiona,nina mashaka makubwa kama ripoti ya CAG itajadiliwa bungeni siku ya kesho pamoja na ahadi ya mh.Spika.

Wadau hivi mmejiuliza ni kwanini mwenyekiti wa bunge amegoma kupokea muongozo wa mh.Lissu kwa kisingizio bunge halijapokea hukumu rasimi ya mahakama kuu?

Je, ni kwanini mwenyekiti wa bunge alishindwa kusisitiza kauli ya bosi wake kuwa bunge haliwezi kuingiliwa na lina kinga yake na badala yake akaishia kutoa majibu mepesi kwa maswali magumu?

Labda niwaulize tu,kwani wakati Spika anatoa msimamo kuwa bunge halitazuiwa kufanya kazi yake kulikuwa na hukumu rasimi ya mahakama mezani kwa spika?

Alichofanya mwenyekiti wa bunge jioni hii ni ujanja ujanja tu kuepuka kuji-commit kwani bila shaka anajua kila kitu hivyo hakutaka kuja kunukuliwa siku ya kesho na akasingizia kuwa bunge halijapokea rasim hukumu hiyo ya mahakama.

Wadau,hii ni consipiracy tu na ni mkakati umepangwa kiufundi ili kuwahadaa wabunge.Alichofanya Spika ni kuwatia moyo wabunge tu pengine ili shughuli za leo zikamilike ila kesho ama atawageuka kwa kuwasomea hukumu rasimi ya mahakama au vile vile huenda kesho asikalie kiti na badala yake atamtuma mwenyekiti wa bunge huku akiwa na maelekezo maalumu ya kuzima mjadala.

Uwezekano mwingine ni kesho spika anaweza kuisoma hukumun hiyo mbele ya wabunge na kisha akaagiza kikao cha Kamati ya Uongozi kikae na kisha kitakuja na majibu ya kuahirisha mjadala huo kwa kisingizio cha ushauri wa kisheria na mambo ya aina hiyo.

Pia, Mwanasheria Mkuu wa serikali anaweza kutumika kwa kupewa nafasi ya kuongea bungeni hiyo kesho na kisha akaitumia nafasi hiyo kupotosha ukweli ili jambo hili lisijadiliwe na wabunge.

Naomba niseme tu kuwa sina imani hata kidogo na uongozi wa mihimili yote mitatu ya dola juu ya jambo hili na pia sina imani kabisa jambo hili litajadiliwa katika bunge hili.

Hata hivyo,mama Makinda leo una nafasi ya kipekee ya kuandika historia ambayo inaweza ikafuta makosa yako yote ya nyuma endapo tu,utasimama imara na kuruhusu huu mjadala kuendelea.

Narudia,spika Makinda hii ni "golden chance" kwako kuandika historia na utakumbukwa sana na watanzania licha ya makosa uliyoyafanya siku za nyuma.

Huu ni mtazamo wangu tu, nawe unaweza kuwa na maoni tofauti.

Akili ya kuambiwa,changanya na ya kwako.
 
Kwa hali ninavyoiona,nina mashaka makubwa kama ripoti ya CAG itajadiliwa bungeni siku ya kesho pamoja na ahadi ya mh.Spika.Hivi wadau mmejiuliza nj kwanini mwenyekiti wa bunge amegoma kupokea muongozo wa mh.Lissu kwa kisingizio bunge halijapokea hukuma rasimi ya mahakama kuu?Labda niwaulize tu,kwani wakati Spika anatoa msimamo kuwa bunge halitazuiwa kufanya kazi yake kulikuwa na hukumu ya mahakama?Alichofanya mwenyekiti wa bunge jioni hii ni ujanja ujanja tu kuepuka kuji-commit kwani bila shaka anajua kila kitu hivyo hakutaka kuja kunukuliwa siku ya kesho na akasingizia kuwa bunge halijapokea rasim hukumu hiyo ya mahakama.Wadau,hii ni consipiracy tu na ni mkakati umepangwa kiufundi kuwahadaa wabunge.Alichofanya Spika ni kuwatia moyo wabunge tu pengine ili shughuli za leo zikamilike ila kesho ama atawageuka kwa kuwasomea hukumu rasimi ya mahakama au vile vile huenda kesho asikalie kiti na badala yake atamtuma mwenyekiti wa bunge huku akiwa na maelekezo maalumu ya kuzima mjadala.Uwezekano mwingine ni kesho spika anaweza kuisoma hukumun hiyo mbele ya wabunge na kisha akaagiza kikao cha Kamati ya Uongozi kikae na kisha kitakuja na majibu ya kuahirisha mjadala huo kwa kisingizio cha ushauri wa kisheria na mambo ya aina hiyo.Hata Mwanasheria Mkuu wa serikali anaweza kutumika kwa kupewa nafasi ya kuongea bungeni hiyo kesho na kisha akaitumia nafasi hiyo kupotosha ukweli ili jambo hili lisijadiliwe na wabunge.Sina imani kabisa na uongozi wa mihimili yote mitatu ya dola juu ya jambo hili na sina imani kabisa jambo hili litajadiliwa katika bunge hili.Huu ni mtazamo wangu tu.

mkuu tumeshapigwa.mchanga wa macho. ccm ni wahuni.kesho utayastaabia ya musa.na hikitokea ni bora wabunge wapige kura ya kumwondoa spika.maana hili jambo limevutwa vutwa sana kwa malengo mahususi ya kucheza mchezo uliochezwa leo mahakamani.hili kuwalinda wezi.huku maospital hakuna madawa.
 
Kwa nilisema hata bunge halina credibility.Watakachoweza kufanya wabunge kama wakiwa na umoja ni kutokuwa na imani na spika, wm na rais full stop
 
Kwa hali ninavyoiona,nina mashaka makubwa kama ripoti ya CAG itajadiliwa bungeni siku ya kesho pamoja na ahadi ya mh.Spika.Hivi wadau mmejiuliza nj kwanini mwenyekiti wa bunge amegoma kupokea muongozo wa mh.Lissu kwa kisingizio bunge halijapokea hukuma rasimi ya mahakama kuu?Labda niwaulize tu,kwani wakati Spika anatoa msimamo kuwa bunge halitazuiwa kufanya kazi yake kulikuwa na hukumu ya mahakama?Alichofanya mwenyekiti wa bunge jioni hii ni ujanja ujanja tu kuepuka kuji-commit kwani bila shaka anajua kila kitu hivyo hakutaka kuja kunukuliwa siku ya kesho na akasingizia kuwa bunge halijapokea rasim hukumu hiyo ya mahakama.Wadau,hii ni consipiracy tu na ni mkakati umepangwa kiufundi kuwahadaa wabunge.Alichofanya Spika ni kuwatia moyo wabunge tu pengine ili shughuli za leo zikamilike ila kesho ama atawageuka kwa kuwasomea hukumu rasimi ya mahakama au vile vile huenda kesho asikalie kiti na badala yake atamtuma mwenyekiti wa bunge huku akiwa na maelekezo maalumu ya kuzima mjadala.Uwezekano mwingine ni kesho spika anaweza kuisoma hukumun hiyo mbele ya wabunge na kisha akaagiza kikao cha Kamati ya Uongozi kikae na kisha kitakuja na majibu ya kuahirisha mjadala huo kwa kisingizio cha ushauri wa kisheria na mambo ya aina hiyo.Hata Mwanasheria Mkuu wa serikali anaweza kutumika kwa kupewa nafasi ya kuongea bungeni hiyo kesho na kisha akaitumia nafasi hiyo kupotosha ukweli ili jambo hili lisijadiliwe na wabunge.Sina imani kabisa na uongozi wa mihimili yote mitatu ya dola juu ya jambo hili na sina imani kabisa jambo hili litajadiliwa katika bunge hili.Huu ni mtazamo wangu tu.

ushauri;makamanda kama kawaida ukawa naomba kama spika atazima hoja hii madhubuti dawa ni kutoka bungeni na mje kwa wananchi zungukeni nchi nzima kuwaelimisha watu kuhusu escrow na kuwaambia wananchi waizike ccm rasmi uchaguzi serikali za mitaa wametuchosha ccm
 
kwani mihimili hii mi3 ya serekali, mahakama na bunge inaingiliana kwenye utendaji? Inakuwaje mahakama in a king ilia mambo ambayo tayari bunge lilishapanga kufanya?
 
Back
Top Bottom