Uliyepost hii article anzeni kubadilsha slogan zenu za kinafiki kama "ujamaa na kujitegemea, mapinduzi ya kijani, chama dume nk"ambazo hatuoni impact yake kwa wananchi zaidi ya kuona vigogo mnanenepa na tenda zitokanazo na slogan zenu
Hapo JK hapakuwa mahali pake kuonesha mkanganyiko kisheria kwenye tukio la Zito, angenukuu mkanganyo kwenye katiba mpya alikuwa sahihi. Issue ya Zito inawezekana alijua anapata jembe alipatie wizara hasa kipiti kigumu alichonacho.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.