Hii Ajira sasa imekuwa tegemezi sana kwa vijana na wengine wenye imani tofauti wakiamini ipo siku watakusanya kiasi cha pesa nyingi kupitia hii Ajira .
Hivi karibuni kwa asilimia kubwa zaidi za vijana mwanga wao ndo hii Ajira ambayo imekuwa ikileta waumimini wapya kila kukicha na kuwafanya kuwa...
Vodacom ni mtandao mzuri sema wanavitu Vingi . Mno wapunguze biashara pandikizi ndogo ndogo Mfano hizo Nyimbo mara simulizi michezo kibao unaitajika ulipie lakin uhalisia kwa upande wa network na Internet wanakasi ya ajabu apo tuwasifu.
Salamu, wapendwa,
Miaka imekuwa mingi sana sasa nimekuwa nikishi kwenye nyumba ya banda umiza sasa wakati wa kujenga nyumba angalau ya kueleweka umewadia.
Najua humu kuna mafundi professional na watalamu wa makadirio mazuri na ya wastani mnaweza kukadilia nyumba kama hii kwa hapa Tanzania ina...
Ila daah hii mada leo ?
Mimi binafsi na amini kila mtu ana wakati kama huu katika maisha yake kama bado basi unakuja .
Alfu naona comment za watu hapa kila mtu ana aumu kuwa eti? Watu ni wabaya sana watu ni sisi hila hapa tuna laumu tusicho kijuwa mbaya wako wewe naye wewe ndiye mbaya wake."...
Hizi taarifa ziwe za kweli au za uongo tuzungumzie hapa Tanzania kwani kiukweli barabara zipo maana tusiwe tunajisifia uongo tu . Barabara zimejaa viraka nyingi nezo nivumbi na matope katika misimu yote ukizingatia Tanzania ni inchi tajiri ina kila aina za raslimali alitakiwa hii Tanzania...
Genius Punguza maarifa basi kidog uelewe. Mambo ya imani hayapo ivyo kama unavyo fikili ki kawaida ina kupaswa uamini kwanza ndo uongee hiicho unacho kiongea bila hivyo usijadili maswala ya imani kama wew uamini uwezi kuwa na hoja za kuwambia wanao amini hasa katika kweli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.