ambokileambakisye
Member
- May 18, 2023
- 27
- 38
Yupi genius kati ya hawa anaye kumbukwa mpaka kesho kwa ubunifu wake kuwa uti wa mgongo katika maendeleo ya dunia.
.
.
Swali lako halijaeleweka lakini nitaenda na TeslaYupi genius kati ya hawaView attachment 2822066
Kama leonardo da'vinci hayupo basi list ni batili, hao ni wadesaji tu, genius pekee aliyewai kuishi hapa duniani ni da'vinci tuYupi genius kati ya hawaView attachment 2822066
Kwahiyo humuoni newton apo 😂Tuliokimbia umande tunaona nyota nyota tu hapo
Hahaa nimemuona Ila ndio sieRewiKwahiyo humuoni newton apo 😂
Itakuwa darasani ulikuwa bakibenja 😂Hahaa nimemuona Ila ndio sieRewi
Heading na habari mbingu na ardhi.Yupi genius kati ya hawa anaye kumbukwa mpaka kesho kwa ubunifu wake kuwa uti wa mgongo katika maendeleo ya dunia.
.View attachment 2822066
Nilitaka kusema hivyo hivyo. Nimeshangaa nimeangalia list sijamwona wakati da’vinci ndio alikuwa hatari kabisa yani hatari kuliko wote picha lake kubwa lilitakiwa liwe pale juu kabisa, he was an Anatomist, Architect, Astronomer, Botonist, Cartographer, Engineer, Geologist, Hydrodynamicist, Mathematician, Musician, Theatre producer, Scientist, Inventor, kwahiyo huwa nashangaa sana wanapowasema kina newton , namkubali sana huyu mwamba, alizaliwa 1452 , 15th April 10:30pm na mama mmoja anaitwa Catarina, huko Florence Italy kwenye kijiji kinaitwa Da’vinci…Kwenye huu uzi Leonardo anatakiwa awe pale juu alafu picha ni KUBWA SANA MASTAKama leonardo da'vinci hayupo basi list ni batili, hao ni wadesaji tu, genius pekee aliyewai kuishi hapa duniani ni da'vinci tu
Nilivyoelewa mimi mada haizungumzii nani genius kuzidi mwengine mada mezani ni.....Nilitaka kusema hivyo hivyo. Nimeshangaa nimeangalia list sijamwona wakati da’vinci ndio alikuwa hatari kabisa yani hatari kuliko wote picha lake kubwa lilitakiwa liwe pale juu kabisa, he was an Anatomist, Architect, Astronomer, Botonist, Cartographer, Engineer, Geologist, Hydrodynamicist, Mathematician, Musician, Theatre producer, Scientist, Inventor, kwahiyo huwa nashangaa sana wanapowasema kina newton , namkubali sana huyu mwamba, alizaliwa 1452 , 15th April 10:30pm na mama mmoja anaitwa Catarina, huko Florence Italy kwenye kijiji kinaitwa Da’vinci…Kwenye huu uzi Leonardo anatakiwa awe pale juu alafu picha ni KUBWA SANA MASTA
Leonardo Da vinciNilivyoelewa mimi mada haizungumzii nani genius kuzidi mwengine mada mezani ni.....
Je, ni yupi kafanya ajira nyingi sana mpaka sasa duniani katika hawa genius?