Asali ya Tabora inasemekana kuwa inarinwa karibu na mashamba ya tumbaku na kuna uwezekano zina chembechembe za viuatilifu pamoja na sumu nyingine za tumbaku. Asali ya Kigoma ni nzuri, ni PM kama utahitaji kuipata.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.