BatteryLow
JF-Expert Member
- Aug 14, 2011
- 446
- 149
Naombeni kueleweshwa maana ya hili neno, nilisikia likitumiwa redioni "nchi za ushoroba wa Kaskazini".
CorridorNaombeni kueleweshwa maana ya hili neno, nilisikia likitumiwa redioni "nchi za ushoroba wa Kaskazini".
Thread closed. Atakayechangia baada ya Mimi na wewe mchawi.Corridor
Ha ha haaa, nimecheka tu, sijachangia kitu, nimechekeshwa na jinsi ulivyo hitimisha mjadala!!
Tena wewe unawanga kweupe peeeHa ha haaa, nimecheka tu, sijachangia kitu, nimechekeshwa na jinsi ulivyo hitimisha mjadala!!
Sent using Jamii Forums mobile app