Recent content by Amba Samedi

  1. Amba Samedi

    Research Supervisor Hatimaye Atasema 'Sasa Tunazungumza'... Nakuhakikishia...

    Neema alikuwa amechoka. Miezi mitatu ya research, na bado literature review ilikuwa "rough draft." Supervisor alimwambia mara nyingine tena: "Rudi uiandike title upya." Alianza kujiuliza: "Mimi ni mjinga? Au kuna kitu sijui?" Hakuwa mjinga. Alikuwa anafanya kazi ngumu kwa njia ya zamani. Siku...
  2. Amba Samedi

    "Wanafunzi wa chuo mko wapi? Chatgpt ni kama calculator ya ubongo wako

    Nakupongeza kwa kuandika vizuri. Kwa hakika ambaye hajawahi kutumia AI ataona pa kuanzia. Ila... nimepata ugumu kulinganisha AI na calculator. AI inaweza kuwa na namna ya kufanya mahesabu, lakini haiwezi kamwe kulinganishwa na calculator na tukaishia hapo. Calculator huendana na exactly...
  3. Amba Samedi

    🎓 Wanafunzi wa Postgraduate — Research yako inakusumbua? Msaada huu hapa...

    Habari wadau, Natumaini mnaendelea vizuri. Niko Morogoro, "mkoa wa vyakula vyuo na seminar", na tunaendelea vizuri. Kwa waislamu ni siku ya ibada, kwa wasabato ya maandalizi na wengine wanapanga kesha (Furahiday). Kazi iendelee... Kipindi hiki ni cha research na presentations. Natumaini...
  4. Amba Samedi

    Ukwasi Muhimu: Vitu Kadhaa vya Kuzingatia (Cash is King)

    Habari wanaJF, Natumaini mmeamka salama. Dunia ishageuka kuwa uwanja wa vita: leo TZ, kesho Iran nk. Na mafuta yanaweza kupanda kwa sababu... tutaliongelea siku nyingine. Leo tujadili ukweli fulani wenye kauchungu: Kumiliki mali nyingi sio sawa na kuwa na ukwasi (cash flow). Unaweza kuwa na...
  5. Amba Samedi

    KULINDA MALI ZA FAMILIA ZIISHI MIAKA 200

    Sio nyumba tu. Mali zote: mashamba, magari nk
  6. Amba Samedi

    Mbinu 6 Sifuatazo Zitakukinga na Uzoroto Wa Ubongo katika Kizazi cha AI

    Asante kwa maoni. Soma tena. Hili halizungumzii AI kuzidi ubongo. Tunajadili namna ya kuepuka uozo wa ubongo.
  7. Amba Samedi

    Mbinu 6 Sifuatazo Zitakukinga na Uzoroto Wa Ubongo katika Kizazi cha AI

    Habari wanaJF, Natumaini mko salama. Nina siku nyingi sijaja humu. Ila leo nimepata nafasi tena. Moto usizime. Mbele daima! Leo tutazungumza kuhusu jinsi ya kutumia AI bila AI kukutumia wewe. AI itawasababisha wengi kuwa na uozo wa akili. Tafiti zinasema kuwa GenZ wa sasa watakuwa the most...
  8. Amba Samedi

    KULINDA MALI ZA FAMILIA ZIISHI MIAKA 200

    Pole kuchelewa kujibu. Mbona inajielezea tu... hii document inapaswa kuundwa na wamiliki wa Mali, hasa wale wanaojenga nyumba kurithisha watoto. Mali hazingepotea.
  9. Amba Samedi

    Biashara ya mifumo simamizi ya shule

    Tuwasiliane. 0742308110
  10. Amba Samedi

    Biashara ya kuuza mifumo

    Naomba contacts zako. Niko whatsapp: 0742308110
  11. Amba Samedi

    Mke wangu amejifungua mtoto njiti nibaki sielewi kabisa

    Pole sana kaka. Nenda hatua moja moja. Pata ktu cha ziada cha kukusapoti endapo huna msaada. Usikate tamaa, mambo yataenda vizuri kwa Neema.
  12. Amba Samedi

    Nawezaje kuondokana na haya majeraha yanayo niumiza moyo wangu

    Nimesoma kisa kwa hisia. Mungu anakujali. Dai ahadi zake. Naamini msaada upo. Endelea na safari utaupata. Uoga ni natural, na usijali utashinda. Muda huponya mengi... Kama utapenda naweza kukupa namba ya mama mmoja na mme wake (mchungaji) wanafanya counseling kwa wajane na waliofiwa (ingawa...
  13. Amba Samedi

    Maendeleo Mbagala Rangi 3 yamekuja na Kushamiri kwa biashara ya ukahaba

    Umenena vyema. Sema sio kazi ya mamlaka kukabiliana na ukahaba. Hili ni jambo la kiroho, na jukumu la kujenga maadili hupatikana nyumbani na ibadani.
  14. Amba Samedi

    Uganda Yazuia Uingizaji wa Starlink Kabla ya Uchaguzi: Huu Ndio Mtindo Mpya Sasa (Umejipangaje)?

    Habari wanaJF, Ni muda nimekuwa kimya humu, lakini kuna jambo muhimu limejitokeza jirani zetu Uganda ambalo lina uhusiano wa moja kwa moja na kile tulichokiona Tanzania wakati wa uchaguzi — hasa kwenye masuala ya intaneti na udhibiti wa mawasiliano. Uganda imetoa zuio la uingizaji wa vifaa vya...
  15. Amba Samedi

    PostGE2025 Hivi internet ikizimwa tena siku za usoni, umejipangaje?

    Kwa Kwa ufupi ukishalipia hiyo 70k, unaweza kutembea kwa mbps hadi 50. Ila kuna kadata limit, kwa sababu mitandao yote inaoperate kwenye falsafa ya FUP (Fair Usage Policy). Ukitumia beyond a given limit unaweza kupata degraded performance, pamoja na kwamba internet itaendelea kuwepo.
Back
Top Bottom