Habari wanajamvi,
Ndio. Hasa kama unafanya kazi za mtandaoni (remote work), Halotel inasaidia sana. Asubuhi hii perplexity.ai ilinisumbua, nikajaribu mitandao yote Halotel ndo ikakubali. Iliwahi kunitokea nilipokuwa naaply Outlier tasking platform. Ndo ilinibeba (Mkenya mmoja ndo kaniibia siri...
Ukilima na kuvunq
1. Epuka wanawake. Kuna wadada ngozi laini washakariri Wakulima na minimum ya kuvuna.
2. Ufugaji unalipa pia. Ukinunua mbuzi wako 10 au 20 ukawarutubusha. Ukichukua croiler kadhaa, au wa kienyeji... itakulipa
3. Kuna kulima na kuhifadhi. Kuna siri katika mzunguko wa nafaka...
Kuna mwamba ameiweka vizuri sana. Ukiwa na setup kama hii, wewe ushawin:
https://www.jamiiforums.com/threads/site-ya-biashara-ya-hotspot-wi-fi-inauzwa-inahudumia-watu-60-70-kwa-siku-inaingiza-si-chini-ya-900-000-faida-kwa-mwezi-inapatikana-dar-es-salaam.2447891/
Naomba kuongezea machache kwenye mada hii muhimu:
1. Changamoto za msingi katika biashara hii:
Kabla ya vitu vingine, fahamu changamoto kuu unazoweza kukutana nazo: ushindani mkali (maeneo mengi mtaani tayari kuna wifi wenye router 2-3), wateja wasiolipa kwa wakati, vifaa kuharibika mara kwa...
Kila alichokitengeneza mwanadamu kina speed gorvernor. Gari ina speed 180km kulinda usalama wako, chakula kina kipimo kwenye sahani. So, internet pia ni hivyo hivyo. Kwa hiyo elimu hii ikifikia watu wengi, watajua kuwa wanatembea ndani ya barabara yenye alama, ishara na vijidhibiti mwendo.
Neema alikuwa amechoka.
Miezi mitatu ya research, na bado literature review ilikuwa "rough draft." Supervisor alimwambia mara nyingine tena: "Rudi uiandike title upya." Alianza kujiuliza: "Mimi ni mjinga? Au kuna kitu sijui?"
Hakuwa mjinga. Alikuwa anafanya kazi ngumu kwa njia ya zamani.
Siku...
Nakupongeza kwa kuandika vizuri. Kwa hakika ambaye hajawahi kutumia AI ataona pa kuanzia.
Ila... nimepata ugumu kulinganisha AI na calculator. AI inaweza kuwa na namna ya kufanya mahesabu, lakini haiwezi kamwe kulinganishwa na calculator na tukaishia hapo. Calculator huendana na exactly...
Habari wadau,
Natumaini mnaendelea vizuri. Niko Morogoro, "mkoa wa vyakula vyuo na seminar", na tunaendelea vizuri. Kwa waislamu ni siku ya ibada, kwa wasabato ya maandalizi na wengine wanapanga kesha (Furahiday). Kazi iendelee...
Kipindi hiki ni cha research na presentations. Natumaini...
Habari wanaJF,
Natumaini mmeamka salama. Dunia ishageuka kuwa uwanja wa vita: leo TZ, kesho Iran nk. Na mafuta yanaweza kupanda kwa sababu... tutaliongelea siku nyingine.
Leo tujadili ukweli fulani wenye kauchungu: Kumiliki mali nyingi sio sawa na kuwa na ukwasi (cash flow). Unaweza kuwa na...
Habari wanaJF,
Natumaini mko salama. Nina siku nyingi sijaja humu. Ila leo nimepata nafasi tena. Moto usizime. Mbele daima!
Leo tutazungumza kuhusu jinsi ya kutumia AI bila AI kukutumia wewe. AI itawasababisha wengi kuwa na uozo wa akili. Tafiti zinasema kuwa GenZ wa sasa watakuwa the most...
Pole kuchelewa kujibu. Mbona inajielezea tu... hii document inapaswa kuundwa na wamiliki wa Mali, hasa wale wanaojenga nyumba kurithisha watoto. Mali hazingepotea.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.