Habari wanaJF,
Natumaini mmeamka salama. Dunia ishageuka kuwa uwanja wa vita: leo TZ, kesho Iran nk. Na mafuta yanaweza kupanda kwa sababu... tutaliongelea siku nyingine.
Leo tujadili ukweli fulani wenye kauchungu: Kumiliki mali nyingi sio sawa na kuwa na ukwasi (cash flow). Unaweza kuwa na...
Habari wanaJF,
Natumaini mko salama. Nina siku nyingi sijaja humu. Ila leo nimepata nafasi tena. Moto usizime. Mbele daima!
Leo tutazungumza kuhusu jinsi ya kutumia AI bila AI kukutumia wewe. AI itawasababisha wengi kuwa na uozo wa akili. Tafiti zinasema kuwa GenZ wa sasa watakuwa the most...
Pole kuchelewa kujibu. Mbona inajielezea tu... hii document inapaswa kuundwa na wamiliki wa Mali, hasa wale wanaojenga nyumba kurithisha watoto. Mali hazingepotea.
Nimesoma kisa kwa hisia. Mungu anakujali. Dai ahadi zake. Naamini msaada upo. Endelea na safari utaupata. Uoga ni natural, na usijali utashinda. Muda huponya mengi...
Kama utapenda naweza kukupa namba ya mama mmoja na mme wake (mchungaji) wanafanya counseling kwa wajane na waliofiwa (ingawa...
Habari wanaJF,
Ni muda nimekuwa kimya humu, lakini kuna jambo muhimu limejitokeza jirani zetu Uganda ambalo lina uhusiano wa moja kwa moja na kile tulichokiona Tanzania wakati wa uchaguzi — hasa kwenye masuala ya intaneti na udhibiti wa mawasiliano.
Uganda imetoa zuio la uingizaji wa vifaa vya...
Kwa
Kwa ufupi ukishalipia hiyo 70k, unaweza kutembea kwa mbps hadi 50. Ila kuna kadata limit, kwa sababu mitandao yote inaoperate kwenye falsafa ya FUP (Fair Usage Policy). Ukitumia beyond a given limit unaweza kupata degraded performance, pamoja na kwamba internet itaendelea kuwepo.
Wakati wa katazo walikuwa wakitembea, so walitupa picha ya kilichokuwa kikiendelea. na pia watanzania wengi hawana elimu ya satellite internet, kwa hiyo serikali haikuwa na wasiwasi sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.