Recent content by Amba Samedi

  1. Amba Samedi

    Ukwasi Muhimu: Vitu Kadhaa vya Kuzingatia (Cash is King)

    Habari wanaJF, Natumaini mmeamka salama. Dunia ishageuka kuwa uwanja wa vita: leo TZ, kesho Iran nk. Na mafuta yanaweza kupanda kwa sababu... tutaliongelea siku nyingine. Leo tujadili ukweli fulani wenye kauchungu: Kumiliki mali nyingi sio sawa na kuwa na ukwasi (cash flow). Unaweza kuwa na...
  2. Amba Samedi

    KULINDA MALI ZA FAMILIA ZIISHI MIAKA 200

    Sio nyumba tu. Mali zote: mashamba, magari nk
  3. Amba Samedi

    Mbinu 6 Sifuatazo Zitakukinga na Uzoroto Wa Ubongo katika Kizazi cha AI

    Asante kwa maoni. Soma tena. Hili halizungumzii AI kuzidi ubongo. Tunajadili namna ya kuepuka uozo wa ubongo.
  4. Amba Samedi

    Mbinu 6 Sifuatazo Zitakukinga na Uzoroto Wa Ubongo katika Kizazi cha AI

    Habari wanaJF, Natumaini mko salama. Nina siku nyingi sijaja humu. Ila leo nimepata nafasi tena. Moto usizime. Mbele daima! Leo tutazungumza kuhusu jinsi ya kutumia AI bila AI kukutumia wewe. AI itawasababisha wengi kuwa na uozo wa akili. Tafiti zinasema kuwa GenZ wa sasa watakuwa the most...
  5. Amba Samedi

    KULINDA MALI ZA FAMILIA ZIISHI MIAKA 200

    Pole kuchelewa kujibu. Mbona inajielezea tu... hii document inapaswa kuundwa na wamiliki wa Mali, hasa wale wanaojenga nyumba kurithisha watoto. Mali hazingepotea.
  6. Amba Samedi

    Biashara ya mifumo simamizi ya shule

    Tuwasiliane. 0742308110
  7. Amba Samedi

    Biashara ya kuuza mifumo

    Naomba contacts zako. Niko whatsapp: 0742308110
  8. Amba Samedi

    Mke wangu amejifungua mtoto njiti nibaki sielewi kabisa

    Pole sana kaka. Nenda hatua moja moja. Pata ktu cha ziada cha kukusapoti endapo huna msaada. Usikate tamaa, mambo yataenda vizuri kwa Neema.
  9. Amba Samedi

    Nawezaje kuondokana na haya majeraha yanayo niumiza moyo wangu

    Nimesoma kisa kwa hisia. Mungu anakujali. Dai ahadi zake. Naamini msaada upo. Endelea na safari utaupata. Uoga ni natural, na usijali utashinda. Muda huponya mengi... Kama utapenda naweza kukupa namba ya mama mmoja na mme wake (mchungaji) wanafanya counseling kwa wajane na waliofiwa (ingawa...
  10. Amba Samedi

    Maendeleo Mbagala Rangi 3 yamekuja na Kushamiri kwa biashara ya ukahaba

    Umenena vyema. Sema sio kazi ya mamlaka kukabiliana na ukahaba. Hili ni jambo la kiroho, na jukumu la kujenga maadili hupatikana nyumbani na ibadani.
  11. Amba Samedi

    Uganda Yazuia Uingizaji wa Starlink Kabla ya Uchaguzi: Huu Ndio Mtindo Mpya Sasa (Umejipangaje)?

    Habari wanaJF, Ni muda nimekuwa kimya humu, lakini kuna jambo muhimu limejitokeza jirani zetu Uganda ambalo lina uhusiano wa moja kwa moja na kile tulichokiona Tanzania wakati wa uchaguzi — hasa kwenye masuala ya intaneti na udhibiti wa mawasiliano. Uganda imetoa zuio la uingizaji wa vifaa vya...
  12. Amba Samedi

    PostGE2025 Hivi internet ikizimwa tena siku za usoni, umejipangaje?

    Kwa Kwa ufupi ukishalipia hiyo 70k, unaweza kutembea kwa mbps hadi 50. Ila kuna kadata limit, kwa sababu mitandao yote inaoperate kwenye falsafa ya FUP (Fair Usage Policy). Ukitumia beyond a given limit unaweza kupata degraded performance, pamoja na kwamba internet itaendelea kuwepo.
  13. Amba Samedi

    PostGE2025 Hivi internet ikizimwa tena siku za usoni, umejipangaje?

    Server za JF zipo nje ya TZ (wangekuwa humu hata contents zingeshafutwa). Na kuna watu walikuwa nje walikuwa wanapata internet.
  14. Amba Samedi

    PostGE2025 Hivi internet ikizimwa tena siku za usoni, umejipangaje?

    Actually taasisi za serikali zinatumia internet ya TTCL, sio ya satellite. So, mkonga wa TTCL ulipokata, na wao pia walikinywea.
  15. Amba Samedi

    PostGE2025 Hivi internet ikizimwa tena siku za usoni, umejipangaje?

    Wakati wa katazo walikuwa wakitembea, so walitupa picha ya kilichokuwa kikiendelea. na pia watanzania wengi hawana elimu ya satellite internet, kwa hiyo serikali haikuwa na wasiwasi sana.
Back
Top Bottom