Kama unatumia internet ya Fiber na unataka kufanyia biashara tafuta Router hizi za MikroTik ndo zinafaa zina configurations ngumu sana kama sio mtaalamu wa mambo ya network hutaweza kuziset zina mambo 1000 na kidogo, otherwise tafuta mtaalamu wa networking huko aliko akusetie hotspots zake za kutumia login webpage na mambo ya kuset Radius Sever na namna ya ku generate vocha za bundle za WiFi...
Hizi ndogo used zinapatikana around 100k-180k kwa watu wanaohusika na mambo ya network
Mpya kuanzia 200k-350k
Kuna makubwa yake yana gharama kuanzia 350k+
Kumbuka kufata taratibu za mamlaka za TCRA na sheria zingine kama wadau walivyoshauri if necessary...
View attachment 3468139
View attachment 3468140
View attachment 3468141