Mafuta ya baby care, dawa ya meno asa alovera, ukichanganya na limao kila siku ukajipaka hapo kila siku..KIBAMIA BYE BYE
Lakini kabla ya kujipaka hakikisha umeoga maji moto, maji mengi jimwagie kwenye icho kiba100 alaf ndo uje kwny shughuli hiyo. Utanishukuru baadae[emoji6]
Labda ndo maana bible na Quran vimewatabili kuwa kutakuwa na idadi kubwa ya wanawake ktk moto wa jennam kuzidi wanaume... kuna ukweri ulio wazi hapa!!!
Nachokushauri achia kumtafuta huyo, asipokutafta bs we baki unajua txt kapokea umempigia hapokei sim na kwa kweri anaujua kuwa unamtafta. We kaa kimya, tulia ujionee matokeo
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Mkasa wangu ni tofauti kidogo na wako ila ktk mawasiliano kwa njia ya simu yaan ni huo huo mchezo ngoja tu nisimulie mwishoni pekee
Tokea alipo hama mtaa huu niliopo mawasiliano kwa njia ya simu yalikuwa magumu sana, bs mwishoni nikatumia kila njia nijue nn kimya chake, nilisajili laini mpya...
Post inaeleweka tena sana japo sijsomea mambo computer na internet ila imefumbua macho
Hongera mtoa post[emoji1666]
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Mwanamke anakuzidije msimamo wewe? Mi ninachoona unasumbuliwa na hisia wewe...nakushauri usibadili dini kwani huyo mwanamke akifa utajutia na hisia unazoteseka nazo ni kama msiba tu, mwanzo utaangua kilio ila baada ya meizi utaanza kusahau sahau baada ya mwaka/miaka utakuwafresh utatafta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.