Recent content by Amazing H

  1. Amazing H

    Kibamia kimekuwa kero wadau

    Mafuta ya baby care, dawa ya meno asa alovera, ukichanganya na limao kila siku ukajipaka hapo kila siku..KIBAMIA BYE BYE Lakini kabla ya kujipaka hakikisha umeoga maji moto, maji mengi jimwagie kwenye icho kiba100 alaf ndo uje kwny shughuli hiyo. Utanishukuru baadae[emoji6]
  2. Amazing H

    Vituko mitandaoni. Tupia chako

    [emoji2]
  3. Amazing H

    Vituko mitandaoni. Tupia chako

    Niendelee ama nisiendelee???[emoji3]
  4. Amazing H

    Enyi Wanawake tumieni viungo vyenu vizuri maana nguvu ya Viungo vyenu ni kubwa

    Labda ndo maana bible na Quran vimewatabili kuwa kutakuwa na idadi kubwa ya wanawake ktk moto wa jennam kuzidi wanaume... kuna ukweri ulio wazi hapa!!!
  5. Amazing H

    Hivi hapa nina haja ya kuendelea na mahusiano au nijiongeze

    Kama unajisikia hutaki kuendelea kuwa nae basi piga chini kmy kmy Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
  6. Amazing H

    Hivi hapa nina haja ya kuendelea na mahusiano au nijiongeze

    Bs msikilize ila usimuamini, we baki ukijua lolote baya linaweza kutokea na hutokaa ukalisahau Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
  7. Amazing H

    Hivi hapa nina haja ya kuendelea na mahusiano au nijiongeze

    Ndo ivyo mkuu Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
  8. Amazing H

    Hivi hapa nina haja ya kuendelea na mahusiano au nijiongeze

    Nachokushauri achia kumtafuta huyo, asipokutafta bs we baki unajua txt kapokea umempigia hapokei sim na kwa kweri anaujua kuwa unamtafta. We kaa kimya, tulia ujionee matokeo Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
  9. Amazing H

    Hivi hapa nina haja ya kuendelea na mahusiano au nijiongeze

    Mkasa wangu ni tofauti kidogo na wako ila ktk mawasiliano kwa njia ya simu yaan ni huo huo mchezo ngoja tu nisimulie mwishoni pekee Tokea alipo hama mtaa huu niliopo mawasiliano kwa njia ya simu yalikuwa magumu sana, bs mwishoni nikatumia kila njia nijue nn kimya chake, nilisajili laini mpya...
  10. Amazing H

    Hivi hapa nina haja ya kuendelea na mahusiano au nijiongeze

    Tulia mambo uyaone usitingishe ata kidogo na mm nimewahi kupitia mkasa kama huu Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
  11. Amazing H

    Je, unafahamu kwanini maisha yako yameandamwa na mikosi pamoja na Mambo mabaya?

    Post inaeleweka tena sana japo sijsomea mambo computer na internet ila imefumbua macho Hongera mtoa post[emoji1666] Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
  12. Amazing H

    Uzi special: Mtongoze hapa ki-utu uzima mkamalizane live

    Nipo bk hapa nani ako serious tuanzishe game, naona wana wanazenguana[emoji41]
  13. Amazing H

    Mke wangu kanitoroka kisa kubadili Dini

    Mwanamke anakuzidije msimamo wewe? Mi ninachoona unasumbuliwa na hisia wewe...nakushauri usibadili dini kwani huyo mwanamke akifa utajutia na hisia unazoteseka nazo ni kama msiba tu, mwanzo utaangua kilio ila baada ya meizi utaanza kusahau sahau baada ya mwaka/miaka utakuwafresh utatafta...
  14. Amazing H

    Women don't love you (sad truth)

    "CHUKUA DAWA HII..."unaambiwa Huy usemi unawaganga pekee[emoji16]
Back
Top Bottom