Da' Vinci:Guys hivi nimeeleweka kweli? Maana japo nimeandika mm nimejaribu kusoma ila naona kama sielewi hivi..Bahati mbaya sina njia nyingine ya kuandika hii post ikaeleweka😔😔 😢😢
Ahsante kwa kunuelewa Mate, Appreciated
Kweli kabisa na Memory ndio hiyo soul inahifadhi kila kitu kilochorekodiwa na macho either kwa kuona au kutenda
Convincing the body to be Manifested by Soul. Mwanadamu bila soul ni kama kasha lisilo na kitu ndani
Splendid narrations. Ahsante kwa mchango wako kiongozi...Je tufanyeje?
Na waafrika tulivyomazuzu mtu akinunua mboga za majani shambani kwa wakulima wadogo wadogo tunamuona ni maskini, Huku yule anayenunua mboga iyo iyo supermarket ndio tajiri. But Behind the scene unagundua kuwa waafrika ni watu ambao wanaendeshwe na EGO kwenye kila hatua ya maisha yao.Wanasema kwamba "you're what You Listen, what you watch, what you read" wakimaanisha kwamba wewe Upo hivo hivyo kutokana na unachotazama,unachosikiliza na unachosoma..Pia na unachokula.
Hivyo basi wanaofanya system override ya maisha ya Mwanadamu hau wanalimit utazame nini,ule nini,usikilize nini na usome nini.
Ndio maana utaona kama ni kwenye filamu itatakiwa uone kuhusu yale wanayoyataka wao kama ni kuwa unyesa ushoga ulivyo halali basi utaonyeshwa sana kwenye muvi ndio maana huko Netflix utakuta muvi na series nyingi zina ushoga... Utaaminishwa kwenye muvi kwamba USA inalinda sana Amani ya nchi zote haifanyi ubaya wowote ule.
Kama ni kusikiliza utasikilizishwa yale wanayotaka usikie, kwa kutumia media na mitandao mabalimbali utaaminishwa kwamba Nelson mandela alifanya makubwa afrika kuliko kiongozi yoyote yule wakati wa kupigania uhuru, utaaminishwa kwamba Middle east wanauana wao kwa wao wakati uhalisia sio hivyo.
Watahakikisha unasoma kwamba kabla ya wazungu kuja afrika tulikua tunaishi kama manyani ustarabu uliletwa na wao wakati teknolojia zote zimetoka hapo misri Afrika.
Ndio maana kama wakicheza muvi inayohusu wafalme wa misri waigizaji wanakua ni wazungu, wakicheza kuhusu watumwa wa misri waigizaji wanakua waafrika.
Kwa kutambua kua mwili unatokana na unachokula basi watahakikisha unakula kile wanachotaka ule kwa ajili ya matokeo wanayoyataka. Ndio Maana GMO zimejazana huko mashambani zinapigwa chapuo kwa nguvu zote kwa ajili ya matokeo mawili
-Ukitumia GMO zinaenda kufanya DNA rewrite kwenye mfumo wa mwili wako mwisho utakua weak nawe utazalisha watoto ambao ni weak hata mafua yakikupiga unalazwa wiki..Magonjwa na kansa yatakua pamoja nawe daima Maana huna chakula asili cha kuupa mwili nguvu.
-Thomas sankara alisema who feeds you control you, hivyo basi akawekeza nguvu kubwa kwenye kilimo ili taifa lake lisiwe ombaomba wa chakula baada ya mda maghala yote ya Burkina fasso yalijaa chakula...Wazungu wakasema isiwe shida pumzika salama ndio ukawa mwisho wake
So, ukipanda GMO huwezi kurudia mbegu uliyovuna kuipanda ni kuvuna na kutumia. Ukishatumia mbegu za windani hadi zile za asili zikapotea kifuatacho mnakua tegemezi wa mbegu kinachofuata mnakua tegemezi wa chakula...ukishakua tegemezi wa chakula kwisha Habari yako. Unarudi kule juu anayekulisha ndio boss wako hivyo mtapewa magunia ya mahindi kwa mgodi wa madini au tani kadhaa za gesi huko mtwara.
Ujue kwamba USA kuna ghala linalolindwa kwa ulinzi mkali sana limehifadhi mbegu zote za asili kutoka kila pande ya dunia. Wanajua kitakachotokea baada ya miaka 50 to come
Lakini je yote kwa faida ya nani?? Ili iweje??
Nawaza tu kwa sauti mie mnyonge wa hali ya chini..🤔🙄🙄
Cc.
John Joba
Wanasema kwamba "you're what You Listen, what you watch, what you read" wakimaanisha kwamba wewe Upo hivo hivyo kutokana na unachotazama,unachosikiliza na unachosoma..Pia na unachokula.
Hivyo basi wanaofanya system override ya maisha ya Mwanadamu hau wanalimit utazame nini,ule nini,usikilize nini na usome nini.
Ndio maana utaona kama ni kwenye filamu itatakiwa uone kuhusu yale wanayoyataka wao kama ni kuwa unyesa ushoga ulivyo halali basi utaonyeshwa sana kwenye muvi ndio maana huko Netflix utakuta muvi na series nyingi zina ushoga... Utaaminishwa kwenye muvi kwamba USA inalinda sana Amani ya nchi zote haifanyi ubaya wowote ule.
Kama ni kusikiliza utasikilizishwa yale wanayotaka usikie, kwa kutumia media na mitandao mabalimbali utaaminishwa kwamba Nelson mandela alifanya makubwa afrika kuliko kiongozi yoyote yule wakati wa kupigania uhuru, utaaminishwa kwamba Middle east wanauana wao kwa wao wakati uhalisia sio hivyo.
Watahakikisha unasoma kwamba kabla ya wazungu kuja afrika tulikua tunaishi kama manyani ustarabu uliletwa na wao wakati teknolojia zote zimetoka hapo misri Afrika.
Ndio maana kama wakicheza muvi inayohusu wafalme wa misri waigizaji wanakua ni wazungu, wakicheza kuhusu watumwa wa misri waigizaji wanakua waafrika.
Kwa kutambua kua mwili unatokana na unachokula basi watahakikisha unakula kile wanachotaka ule kwa ajili ya matokeo wanayoyataka. Ndio Maana GMO zimejazana huko mashambani zinapigwa chapuo kwa nguvu zote kwa ajili ya matokeo mawili
-Ukitumia GMO zinaenda kufanya DNA rewrite kwenye mfumo wa mwili wako mwisho utakua weak nawe utazalisha watoto ambao ni weak hata mafua yakikupiga unalazwa wiki..Magonjwa na kansa yatakua pamoja nawe daima Maana huna chakula asili cha kuupa mwili nguvu.
-Thomas sankara alisema who feeds you control you, hivyo basi akawekeza nguvu kubwa kwenye kilimo ili taifa lake lisiwe ombaomba wa chakula baada ya mda maghala yote ya Burkina fasso yalijaa chakula...Wazungu wakasema isiwe shida pumzika salama ndio ukawa mwisho wake
So, ukipanda GMO huwezi kurudia mbegu uliyovuna kuipanda ni kuvuna na kutumia. Ukishatumia mbegu za windani hadi zile za asili zikapotea kifuatacho mnakua tegemezi wa mbegu kinachofuata mnakua tegemezi wa chakula...ukishakua tegemezi wa chakula kwisha Habari yako. Unarudi kule juu anayekulisha ndio boss wako hivyo mtapewa magunia ya mahindi kwa mgodi wa madini au tani kadhaa za gesi huko mtwara.
Ujue kwamba USA kuna ghala linalolindwa kwa ulinzi mkali sana limehifadhi mbegu zote za asili kutoka kila pande ya dunia. Wanajua kitakachotokea baada ya miaka 50 to come
Lakini je yote kwa faida ya nani?? Ili iweje??
Nawaza tu kwa sauti mie mnyonge wa hali ya chini..🤔🙄🙄
Cc.
John Joba
Additionally;Wanasema kwamba "you're what You Listen, what you watch, what you read" wakimaanisha kwamba wewe Upo hivo hivyo kutokana na unachotazama,unachosikiliza na unachosoma..Pia na unachokula.
Hivyo basi wanaofanya system override ya maisha ya Mwanadamu hau wanalimit utazame nini,ule nini,usikilize nini na usome nini.
Ndio maana utaona kama ni kwenye filamu itatakiwa uone kuhusu yale wanayoyataka wao kama ni kuwa unyesa ushoga ulivyo halali basi utaonyeshwa sana kwenye muvi ndio maana huko Netflix utakuta muvi na series nyingi zina ushoga... Utaaminishwa kwenye muvi kwamba USA inalinda sana Amani ya nchi zote haifanyi ubaya wowote ule.
Kama ni kusikiliza utasikilizishwa yale wanayotaka usikie, kwa kutumia media na mitandao mabalimbali utaaminishwa kwamba Nelson mandela alifanya makubwa afrika kuliko kiongozi yoyote yule wakati wa kupigania uhuru, utaaminishwa kwamba Middle east wanauana wao kwa wao wakati uhalisia sio hivyo.
Watahakikisha unasoma kwamba kabla ya wazungu kuja afrika tulikua tunaishi kama manyani ustarabu uliletwa na wao wakati teknolojia zote zimetoka hapo misri Afrika.
Ndio maana kama wakicheza muvi inayohusu wafalme wa misri waigizaji wanakua ni wazungu, wakicheza kuhusu watumwa wa misri waigizaji wanakua waafrika.
Kwa kutambua kua mwili unatokana na unachokula basi watahakikisha unakula kile wanachotaka ule kwa ajili ya matokeo wanayoyataka. Ndio Maana GMO zimejazana huko mashambani zinapigwa chapuo kwa nguvu zote kwa ajili ya matokeo mawili
-Ukitumia GMO zinaenda kufanya DNA rewrite kwenye mfumo wa mwili wako mwisho utakua weak nawe utazalisha watoto ambao ni weak hata mafua yakikupiga unalazwa wiki..Magonjwa na kansa yatakua pamoja nawe daima Maana huna chakula asili cha kuupa mwili nguvu.
-Thomas sankara alisema who feeds you control you, hivyo basi akawekeza nguvu kubwa kwenye kilimo ili taifa lake lisiwe ombaomba wa chakula baada ya mda maghala yote ya Burkina fasso yalijaa chakula...Wazungu wakasema isiwe shida pumzika salama ndio ukawa mwisho wake
So, ukipanda GMO huwezi kurudia mbegu uliyovuna kuipanda ni kuvuna na kutumia. Ukishatumia mbegu za windani hadi zile za asili zikapotea kifuatacho mnakua tegemezi wa mbegu kinachofuata mnakua tegemezi wa chakula...ukishakua tegemezi wa chakula kwisha Habari yako. Unarudi kule juu anayekulisha ndio boss wako hivyo mtapewa magunia ya mahindi kwa mgodi wa madini au tani kadhaa za gesi huko mtwara.
Ujue kwamba USA kuna ghala linalolindwa kwa ulinzi mkali sana limehifadhi mbegu zote za asili kutoka kila pande ya dunia. Wanajua kitakachotokea baada ya miaka 50 to come
Lakini je yote kwa faida ya nani?? Ili iweje??
Nawaza tu kwa sauti mie mnyonge wa hali ya chini..
Cc.
John Joba
One day rafiki yangu alikua anakuja kusoma nami nyumbani ila kanizidi kidato kimoja.. siku hiyo nililala mapema ili akija saa 5 usiku niamke tusome. Alikuja akaniita nikiwa nimelala nikaitika nikiwa bado nimesinzia. Si nikaanza kuota kwamba nimeamka nikafungua mlango akaingia ndani tukaanza kusoma topic flani akanielekeza nilikua siijui asubuhi ndio naamka namuangalia kitandani kama kalala simuoni.Mi humuwaza mtu ,dk chache anapiga Simu hata kama sijawasiliana nae mwaka mzima.
Humuwaza mtu pengine hatujaonana hata miaka miwili, Sikh hiyo tutaonana.
Naweza tu kumfikiria mtu ana shida kubwa, nikawiwa kumtafuta sana.
Sitatulia mpk nimtafute na linakuwa kama deni, nikimtafuta nakuta mgonjwa, au yuko kwenye changamoto kubwa.
Au nikampigia, atasema yuko ok.
Nitakaa simu ila sitaridhika, some days later nitapiga tena, anasema ujue that day I was very sick sikutaka tu kukupa wasiwasi.
Shuleni, mi nilikuwa naandika ubaoni kutoka kichwani, nikiandika points za topics 6 ,5 nazikuta kwenye mtihani na same areas niliandika jana yake.
Hii ni enhanced Senses kwa kutumia subconscious mind. So inawezekana umepewa uwezo huo toka kuzaliwa au uliEnhance subconscious mind yako ikawa hivo. Yote yanawezekana... Mimi nawaambiaga mkiniita mara tatu nikiwa chumbani kama sitaitika ni either nimekufa au nimeamua kudharau kuitika.Nilikuwa na mtindo wa kulala darasani na kwenye discussion , ila nakuwa nasikia lila kinachoendelea na nakuwa nimelala kabisa, nikiamka naendelea malipo vizur yu, tena kwa kusight mlichoongea nilipokuwa usingizini.
Pitia hii mada unaweza kupata kituEnzi nafuatilia simu ya my partner, kuna namna tu nikisema hili jina nna mahala nalo.
Na mind you linakuwa halijafanya anything prior.
Days later nakuta kweli kuna shida.
Humuwaza mtu ghafla , days late nasikia amefariki.( huniuma mno mno mno)
Ah ni mengi!
Leo nimetimiza masaa 211,968 duniani..SALUTE
Maisha ni safari ndefu yenye mabonde na mashimo tu Yenye matumaini tu huku raha zikiwa chache mateso na taabu yamejaa! Kuna mambo yanaweza au yanatokea kwenye maisha yako hadi ukabaki unashanga. Yaani jambo fulani baya au zuri linakufata wewe tu kila siku hadi unajiuliza Why me?
Mfano uko mtaani kila tukio baya likitokea basi unahusishwa, unaweza kuta yaani wewe kila mwanaume anayekufata ni ni wa aina fulani usiyoipenda, labda mwizi, muhuni, mweusi, mfupi, mjinga nk.
Kwa upande wa wanaume nadhani hii inawatokea sana utasikia kabisa mtu anasema "Aisee mimi nina bahati na wanawake weupe/walimu/manesi/wanawake washamba nk nk. Yote haya ni maisha yetu ya kila siku ya sisi wanadamu, wengi hatuelewi kwanini hii inatokea hivi lakini ni vitu ambavyo vinahusiana na mambo ya kiroha na Kiasili (nature).
Lakini hadi mtu yanamtokea mambo haya bila yeye mwenyewe kujua hua nini kinafanyika? Hapa nitaenda kuelezea zaidi jinsi mambo mabaya yanavyokua yanaambatana nasi pasipo sie kupenda. Ili nieleweke vizuri nitatumia terminologies za kwenye mambo ya teknoloji.
Kwenye Computer Processors kuna kitu kinaitwa Caches, hii ni sehemu ambapo ukifinya kitu fulani kwenye computer basi kile kitu kinahifadhiwa huko ndani ili ukitaka kukitumia tena basi kinafanyiwa kazi kwa haraka zaidi. Pia kuna kitu kingine kinaitwa HTTP Cookie hizi zinafahamika pia kama Web cookie, browser cookie, internet cookie. Hizi ni data ndogondogo ambazo huchukuliwa kwenye web, internet, browser n.k na kuhifadhiwa kwenye Computer wakati mtumiaji yuko anaperuzi. Kazi yake ni kurekodi mambo yote ambayo mtumiaji (user) anayafanya kwenye internet mfano. Zinarekodi Password, page ipi umetembelea, Majina, nk. Hayo yote yanakusaidia wewe mtumiaji wa internet utakapotaka kuperuzi mitandaoni basi iwe rahisi kutumia.
Kwa upande wa Google huko wao wana project yao wanaita Hummingbird, hii ni alogarithm ambayo inafanya kazi ya kumwezesha mtumiaji wa huduma za google (Hasa YouTube na Google as Search engine) kupata huduma hizo kwa urahisi na kwa haraka...wanasema Google inakujua kuliko mama yako mzazi, Ni kweli.
Unapotafuta kitu Google chochote Hummingbird inarekodi kila kitu baadae ukitaka kuitumia tena inakuletea vitu kama vile ulivyotafuta mwanzo. Ndio maana ukitafuta kitu fulani YouTube ukaangalia ukamaliza labda ukatoka huko baadae ukirudi tena youtube utakuta video mbalimbali zinazoshabihiana na zile ulizoangalia mwanzo.
Yes kwakua Google wanakua washajua ni vitu gani unapendelea ili usisumbuke kuandika wanakuletea hapo kwenye homepage as suggestion posts.
Sasa turudi kwenye mada kuu, mada yetu inahusu kwanini mambo fulani (upande wa ubaya) yanaweza kua yanakufata wewe tu!. Kwenye moja ya post zangu zilizopita nilieleza kua Roho ya binaadamu ndio inabeba taarifa ya kila kitu kukuhusu wewe, so nikachukulia kwamba Roho ya binaadamu ni kama BIOS CHIP (ROM) iliyopo kwenye Motherboard ya Computer halafu mwili wetu ni kama kasha la nje la Computer. Unapokufa Mungu anachomoa Bios chip tu iliyo na taarifa zako!
Leo twende tofati kidogo, tuchukulie Roho ni HummingBird au Cookie au Cache japo mimi nitapendelea tuichukulie kama HummingBird. Roho (Soul) imegawanyika katika sehemu tatu ambazo ni Mind, Intellect na Impression. Mind ndio inahusika kwenye kufikiria, hasa kwenye kutambua lipi baya na lipi zuri. Kwenye Mind kuna kitu kinaitwa Subconcious Mind hii ndio sehemu kuu ya Roho (Soul) ambayo kazi yake ni kurekodi shughuli zetu za kila siku ziwe za kimwili au kiroho.
Sasa kwenye maisha halisi ipo hivi, unapofanya kitu fulani roho(subconcious mind) yako inarekodi. Labda siku moja uliwahi kuwa na mahusiano/ Kutongozwa/za na mwanaume au mwanamke ambao kwako wewe ambae wewe unaona hakufai, roho yako inahifadhi taarifa kwamba uko interested na watu wa namna hiyo. Au siku moja imetokea umeiba kitu roho itahifadhi taarifa. Siku umeenda jela basi roho itasevu. siku ukitembea na mtu aliekuzidi umri roho itahifadhi nk. Kwa upande wa Psychology roho tunasema kwamba Roho (Subconcious mind) inafanya kazi kwa ukaribu zaidi au inashirikiana katika kutenda kazi na Nature.
Kwa hiyo sasa unapofanya kitu fulani roho yako ikakihifadhi, baadae Roho itawasiliana na Nature kwamba unapenda vitu fulani hivyo nature itakua inakuletea vitu hivyo mara kwa mara. Hiki kitendo nature kuwasiliana na roho kisha kukuletea yale usiyoyapenda ndio tunaita MKOSI.
Mfano: Mbaba aliyekuzidi umri kakutongoza wewe kwa kua unashida zako ukamkubalia roho inahifadhi. Baadae itawasiliana na nature kua fulani anapenda wanaume wa umri fulani kisha nature itakuletea mwingine kama suggestion. ukikubali tena na tena basi ndio itakua tabia yako kabisa. Hii ipo kwa kila kitu iwe kibaya au kizuri.
Je, tufanyaje ili kuepuka mambo mabaya yanayotuandama?
Kwenye Computer ili kuziepuka cookies baada ya kutumaliza kuperuza mitandaoni inatakiwa uende upande wa setting kisha chagua Clear Cookies ili kuondoa kumbukumbu zote zote za kuperuzi siku hiyo. Kwa upande wa Google kubaki na taarifa zako. Huwa tunashauri kutumia Search Engine ya Duck Duck Go, Hii web ni nzuri zaidi maana hua ina clear taarifa zako zote baada ya kumaliza kuitumia..ina mengi mazuri ya kiusalama hasa kwenye taarifa za utumiaji wa kila siku (Browsing History). Jamani siipigii debe hii web, ni kuwaweka sawa tu na mada yetu hii. Sasa kuclear cookies au kuondoa mikosi kwenye maisha kuna mambo kadha ambayo tutayafanya.
Hivi ulishawahi kujiuliza kwanini mtu akitoka jela au mahabusu (kituoni) zile nguo alizoenda nazo huwa zinatupwa, pia itabidi aoge kabisa kabla hajaingia ndani, wengine huenda mbali zaidi kwa kuogeshwa dawa za mitishamba ili kuondoa mikosi. Hapo sasa ndio kitendo cha kuclearcookies. Wanafuta taarifa zote zilizomo kwenye roho zihusuzo jela. ni mfano tu huu ila hizi hapa chini ni njia zangu amabazo mimi kwa ufahamu wangu nadhani tukizitumia tutaweza kuondoa mshikamano wa mambo mabaya kwenye maisha yetu (Mikosi)
Kujua Preferences zakoIli kuondoa kushikamana na mambo mabaya maishani inabidi mtu ujitambue wewe binafsi unapenda nini hasa. Je unapenda Kuwa mwema? Unapenda kuiba?unapenda mwanamke wa namna fulani?unapenda mwanaume wa aina fulani nk nk.. ukishajua ukipendacho basi futa yale uyapendayo nawe yatakua yanashikamana nawe.
Hatima yako ipo mikononi mwako, usiache Nature ikuchagulie Hatima yako kwa vitu ambavyo hupendi. Hivyo basi tukisha tambua yale tunayoyapenda na kuayafuata tutaifanya nature ituletee yale pia mabayo tunayapenda.Hapo tutakua tumekwepa kufuatwa na mabaya.
Kujiondoa kwenye mikosi. (Kuclear Cookies maishani)Jamani maishani huwezi kua smart muda wote Nature always win!!!, ipo siku utanasa tu. Sasa hapa labda tuseme umeshavuruga mambo maisha yamejaa mikosi na mabaya yanakuandama. Hapa sasa tutaangalia jinsi ya kuondoa hayo mambo.
1. Tutumie Chumvi na maji, Usishangae sio uganga wala uchawi. Chumvi ni dawa nzuri sana kwa binaadamu nadhani member wengi wameielezea sana humu, sina haja ya kueleza zaidi. Cha msingi chukua chumvi ile ghafi ambayo haijapita kiwandani changanya na maji kisha nuia unavyotaka kisha oga. Hata nabii Ezra aliambiwa na Mungu achanganye maji naNchumvi kisha kuwapatia wana wa Israel wajitakase, ndio maana kwetu RC kuna maji ya baraka yenye Chumvi.
Kama utakua karibu na bahari itapendeza kabisa wewe ni kwenda na kujitupa tu majini maana huko chumvi kibao
2. Mshirikishe Mungu unayemuamini hata kama ni mzimu, hapo inabidi uombe toba kabisa, mweleze mapungufu yako na mahitaji yako kua unataka kuwa mtu mpya, mambo mabaya hutaki kushirikiana nayo. Piga sala sana na ibada kadri uwezavyo. Almighty atakuelewa na kukusafisha uwe mpya.
Maisha bana is all about determing yourself akina mshana jr na wenzake, manabii na mashehe Sharifu wanatuibia tu kwa kuwa wanajua elimu tunayo kidogo, hatujitambui. Tujifunzeni kujitambua hatutasubiria kuombewa na nabii. Wao wanacheza na Psychology ambapo huko watu wengi ni watupu sa tunapigwa tuuu!!!
NOTE. Ahsante Mungu kwa yote uliyonijalia hasi umeniwezesha kuandika mada hii.
End....
Kama umepende Like, Comment then share kwa wenzio.
~Da'Vinci
el maestro.
Guys hivi nimeeleweka kweli? Maana japo nimeandika mm nimejaribu kusoma ila naona kama sielewi hivi..Bahati mbaya sina njia nyingine ya kuandika hii post ikaeleweka😔😔 😢😢
Denver ni mjii huko Corolado na Danvers ni jina la kiume. Da'Vinci na Danvers ni majina nayoyatumia humu. (Though I decided to stick with Vinci)Asante ndugu mleta mada. Kwetu wageni wa jf
Naomba niulize nje ya majadiliano/somo
1. is Da'Vinci=Denvers?
Da'Vinci mimi....?2. Professional ya Da'Vinci wa duniani ni ipi?
Vibarua vya ujenzi na kulima3. What is Da'Vinci doing for his living?
Yeah I'm kinda Gifted but not that special. Mimi ni mjumbe tu Kuwafikishia ujumbe nyie hadhira. Mungu hunifunulia na kunitumia nifikishe vitu fulani kwa mnaonisoma humu!Nataka nijifunze jambo kwa swali langu la 2&3.. Its like this guy is gifted.
NimekuelewaGuys hivi nimeeleweka kweli? Maana japo nimeandika mm nimejaribu kusoma ila naona kama sielewi hivi..Bahati mbaya sina njia nyingine ya kuandika hii post ikaeleweka😔😔 😢😢