Recent content by amarina

  1. amarina

    JamiiForums Tanzania Akija Rais atakaye deal na bodaboda nitamshukuru

    Hizi taka taka barabarani zinakera mno. Yaan nakumbuka enzinza tex maisha yalikuwa mazuri. Hawa waharibifu hata sijui nani amewaleta. Ni kero kero barabarani, kwenye ndoa, usalama wa mahouse girl, watoto wetu wa kike yaani ni tafrani. Siku akaja kiongozi mkuu wa nchi akatoa oder ama...
  2. amarina

    JamiiForums Tanzania Gzee kama hawajui mishangazi ina ukimwi na virus vikali

    Ninashuhudia walimu wa vyuo vikuu wanawake wakiwa na virus na wengine wakiaga Dunia. Walimu wa vyuo wa umri kati ya 35-50 sio salama kwa nyie G-zee. Unalikuta ni linene ni mnene kumbe ni muathirika. JAMBO lingine bodaboda wamemaliza MTAANI Sasa wamerejea vyuoni. Wanafunzi weng wa vyuo vikuu...
  3. amarina

    JamiiForums Tanzania Swali la leo kuhusu Tundu Lissu

    Hatari
  4. amarina

    JamiiForums Tanzania Swali la leo kuhusu Tundu Lissu

    Ikiwa ameishinda Jamhuri ataondoka gerezani? Kama alifungwa na Jamhuri na Jamhuri ni sisi raia, kwani sisi raia alitukosea nini?
  5. amarina

    JamiiForums Tanzania Kwa Hali iliyopo nchini jambo hili hakuna hudi lifanyike. Kuna mambo muhimu ya kufanya kutoka kizazi hiki

    Mambo ya maana sana haya. Yule local fundi anaweza akapatikana hapo hapo shule yamkini wakawa wanafunzi wao wenyewe. Wazi hili hufanans sana na MUHAS NK MADAKTARI WANAPATIKANA PALEPALE HOSPITAL
  6. amarina

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Kama wenye nyongeza ni wengine kwa nini tusiostahili nyongeza wanatuweka muda unakwenda
  7. amarina

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Kuna kanyongeza?
  8. amarina

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Mkuu hawa jamaa wanashindwaje kumchomoa kiungo box to box duniani. Wanatuangusha kabisa
  9. amarina

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Namuona Carrick akitegemea watoto kutoka academy kupanua kikosi
  10. amarina

    JamiiForums Tanzania Kaizer Chiefs imemtangaza rasmi Adolf Mtasingwa kuwa kiungo wao mpya kutoka Azam FC

    Sio kila binadamu ni mchezaji mkuu wengi wetu tunachangamsha genge
  11. amarina

    JamiiForums Tanzania Ni tabia gani zimezoeleka hapa Bongo na Jamii haizikemei ila kiuhalisia ni Mwiba Mchungu?

    Labda hiyo 10% Kwa Sababu kazi ya upelelezi wanaijua Barbara. Kutana nao watakuambia mambo makubwa usiyotegemea Wanavunjwa sana humo njiani, ni hii sio ajira Mkuu. Miaka flan enz za tax nilikuwa nikitoka job natega abiria kama tax, lakin ni baada kutoka kwenye ujenzi wa Tanganyika. Bodaboda...
  12. amarina

    JamiiForums Tanzania Connection walizopewa wageni.. Ndio zinazoitesa Tanganyika

    Utavunjaje mikataba taifa lililomsahe kunyongwa mtoto wa kigongo baada ya kukutwa na madawa? Watahitaji wamdake akiwa safarini ughaibuni
  13. amarina

    JamiiForums Tanzania Ni tabia gani zimezoeleka hapa Bongo na Jamii haizikemei ila kiuhalisia ni Mwiba Mchungu?

    Boda boda. Hawa jamaa ni taka taka inayopewa umuhimu mno. Tusubirie moi ijae na vilema waonhezeke, hawa wajomba ni Malaya 90%, yaani ni kama kasongo, wambea na wanajua mambo kuliko usalama wa taifa. Eti ajira, maafisa umalaya. Unaweza ukampa boda pikipik yako na akawatomber wanao,mdogo ako na...
Back
Top Bottom