Recent content by amarina

  1. amarina

    Uzi maalum wa Kombe la Dunia la FIFA 2026

    Niwekee avetor inisomee FINISH AU FINISHED
  2. amarina

    Hizi ndizo sababu za kutopokea simu za baba yangu mzazi

    ila wewe leo ume comment. mara nyingi una like tu kama robot yaani mtu hajapost ume like:)
  3. amarina

    Hizi ndizo sababu za kutopokea simu za baba yangu mzazi

    Daaah sawa mkuu nimechuku ushauri wako na naufanyia kazi.. Japo kuhusu pombe hapana situmii ila vingine ni ukweli mtupu nimerekebisha mkuu. Na vile vile nimeongea shida ya kimalezi kwamba wazazi tunakuwa wakali kwa watoto ..ambapo tunawajengea hofu,woga,kutojuamini. ni hatari kwa sababu huyu...
  4. amarina

    Hizi ndizo sababu za kutopokea simu za baba yangu mzazi

    Dogo unapitia wakati mgumu. Pole. mwanzoni nilitaka nidharau mambo unayongelea, ila nikagundua una matatizo flan flan ya kisaikolojia na kimalezi. Kwanza wewe ni first born. kuwa first born ni tatizo namba moja. Pili una vitu vitatu jitahidi uviache.... acha pombe, kubet acha na umalaya wa...
  5. amarina

    Ushauri kwa walio Chuo Kikuu na vyuo vya kati GPA matters

    tuliosoma.zamani hatujui lkn hivi kuna mtu anapata GPA ya 2 kweli? form 4 alipitaje, Form six kwenda chuo alipitaje au ni zile za chupi
  6. amarina

    Songesha: Special Thread

    usihangaike mjini mikopo kama yote. kuna Nipeboost ni mkopo mpaka Sh 153,547.Piga *150*49# https://bit.ly/45kXfBd.Msaada piga BURE 0800782701 yaani acha kabisa. hii ni kwa watumishi wa umma pekee wenye Akaunti za mishahara. japo sijui kama na watumishi wa private sekta wanaochukua...
  7. amarina

    Swali. Unaweza ukastaafu ukaishi kwa kujificha kwa aibu

    Nahisi usipoheshimu siku zote za uhai wako, unaweza kuja kuishi kwa kujifichaficha. Hata ukihudhuria jambo ukajificha kamera zisikuone. Nauliza je ikiwa hali imeshakuwa hivyo nitafanyaje
  8. amarina

    Nawezaje pata/calculate square meter kwa eneo lenye pembe 4 lenye urefu tofauti?

    umenikumbusha acha nikatumie AI kujua ukubwa wa plot angu
  9. amarina

    Wakuu msaada

    nakushauri oa mke wa ndoa. mbona wamejaa, tatizo ni Gnzee. ila ukiomba Mungu utapata aliyetulia.
  10. amarina

    Simulizi ya kijasusi: Shetani Rudisha akili zetu na mke wangu

    Nanusa dalili za wapenda kitonga. lkn basi! comment yangu ni kwamba. Kile kisima cha zamani(wazee wa kale) kipatie kidogo utamu, ila uuweke jujuu ila wazee wa kale mababu wa mababu wakaramberambe pale juujuuu ili kisima kisikauke ke. comment ya pili. Unitahidi kuwaonhezea kurasa nyingi...
  11. amarina

    Simulizi ya kijasusi: Shetani Rudisha akili zetu na mke wangu

    jamaa kwenye coins hana tatizo. shida kuweka simulizi ni kazi kubwa sana. Yaani nwana huyo anaharibu soko la simulizi
  12. amarina

    Wakuu msaada

    Yaani nikitaka kutazama movie na nikaona ads nakata au nazima. kule vile vidude(drama box) unakuta unaangalia movie wakikupeleka kwenye kile drama box ukaangalie huko mzee umekwisha sekunde 10 kuangalia movie dakika 3 tangazo. nilijuta. kuhusu bibo kmmmae zao usijaribu. Hapo hujaongea nao...
Back
Top Bottom