Daaah sawa mkuu nimechuku ushauri wako na naufanyia kazi..
Japo kuhusu pombe hapana situmii ila vingine ni ukweli mtupu
nimerekebisha mkuu.
Na vile vile nimeongea shida ya kimalezi kwamba wazazi tunakuwa wakali kwa watoto ..ambapo tunawajengea hofu,woga,kutojuamini.
ni hatari kwa sababu huyu...
Dogo unapitia wakati mgumu. Pole.
mwanzoni nilitaka nidharau mambo unayongelea, ila nikagundua una matatizo flan flan ya kisaikolojia na kimalezi.
Kwanza wewe ni first born. kuwa first born ni tatizo namba moja.
Pili una vitu vitatu jitahidi uviache....
acha pombe, kubet acha na umalaya wa...
usihangaike mjini mikopo kama yote.
kuna Nipeboost ni mkopo mpaka Sh 153,547.Piga *150*49#
https://bit.ly/45kXfBd.Msaada piga BURE 0800782701
yaani acha kabisa. hii ni kwa watumishi wa umma pekee wenye Akaunti za mishahara.
japo sijui kama na watumishi wa private sekta wanaochukua...
Nahisi usipoheshimu siku zote za uhai wako, unaweza kuja kuishi kwa kujifichaficha.
Hata ukihudhuria jambo ukajificha kamera zisikuone.
Nauliza je ikiwa hali imeshakuwa hivyo nitafanyaje
Nanusa dalili za wapenda kitonga.
lkn basi!
comment yangu ni kwamba.
Kile kisima cha zamani(wazee wa kale) kipatie kidogo utamu, ila uuweke jujuu ila wazee wa kale mababu wa mababu wakaramberambe pale juujuuu ili kisima kisikauke ke.
comment ya pili.
Unitahidi kuwaonhezea kurasa nyingi...
Yaani nikitaka kutazama movie na nikaona ads nakata au nazima.
kule vile vidude(drama box) unakuta unaangalia movie wakikupeleka kwenye kile drama box ukaangalie huko mzee umekwisha sekunde 10 kuangalia movie dakika 3 tangazo. nilijuta.
kuhusu bibo kmmmae zao usijaribu. Hapo hujaongea nao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.