Recent content by amaranthus

  1. A

    Newala, Mtwara: Tani 68 za Korosho zarudishwa kwa Wakulima zikidaiwa hazina ubora

    Farners are suffering caring for the non paying businesses. poor farmers
  2. A

    Usirudie kufanya makosa haya ya kifedha

    Hizi ni muhimu sana wengi tumepotelea Kuwa na mawzo mazuri ila utekelezaji wake ndio changamoto. Japo ni ngumu sana kuyaishi haya ni vizuri tukipata mbinu za kufikia matumizi mazuri ya fedha tunazizipata kwa Jasho
  3. A

    Polisi 105 wamechukuliwa hatua mbalimbali za kinidhamu ikiwa ni pamoja na kufukuzwa kazi

    Everything in this world is full of politics. ....so be it!!
  4. A

    Polisi 105 wamechukuliwa hatua mbalimbali za kinidhamu ikiwa ni pamoja na kufukuzwa kazi

    Ni kweli kabisa kwani Wakati mwingine askari wetu wanapewa maaagizo nafungu. ...hivyo personal intergrity inahitajika kwa kiwango kikubwa.
  5. A

    Kazi kazi kazi kazi

    Aisee sidhani... kuna wengine vichwa ngumu. Ila papata shida kuwa adha ya watu kukosa ajira itakuwa ya kutisha zaidi. Walinu hao warnde shule binafsi mbazo magu anataka ada zidhudhwe hahahaaa huu ni utani.
  6. A

    Kazi kazi kazi kazi

    Tafadhali tuwekee official document and source
  7. A

    Henry Magumo wa ITV huko Zanzibar

    Hahaaa ..... mkoa wa kipolisi kanda ya dar.
  8. A

    Henry Magumo wa ITV huko Zanzibar

    Kwa sasa uhuru wa habari haupo, kila kitu kinaminywa ili kufanikisha jambo la watu wachache wenye maslahi binafsi wasiopenda maendeleo ..."tuombe sana Mungu huu ya amani ya taifa"
  9. A

    Walimu Dar kusafiri bure kwenye daladala

    Tumewaangalia walimu.... Makondakta na Madereva nao wako kazini, ikiwa bure kwa walimu nani atakayewalipa vizuri hawa wenzetu amabao kila siku inatakiwa hesabu ya bosi...."tumewafikiria kwenye mikataba na haki zao je, hili nalo si litabadilisha maslahi yao pia? nafikiri serikali iangalie namna...
  10. A

    Magufuli ni binadamu, dalili za kuchoka tayari zipo wazi

    kila kiongozi ana mbinu zake anazoamiini zitaleta manufaa kwa anaowaongoza. sioni kosa kuliadhibu jambazi kwa kosa lake. so JPM naona yuko sawa. ukipinga maovu lazima uwe na maadui.
  11. A

    Vimemo Bandarini; Nani walikuwa wanaandika?

    Mh! huu utaratibu wa sasa mie nawasiwasi nao mie nafikiri kuwafukuza vigogo kazi haitoshi! na mpunga wetu waliokula walipe kwan wanajua walipopeleka.
  12. A

    Ukwepaji kodi ni hulka/ utamaduni kwa mfanyabiashara

    Tanzania bado ni nchi changa hivyo kunatakiwa mfumo madhubuti wa ukusanyaji kodi pia ukaguzi wa mara kwa mara wa vyanzo vya mapato na mapato hayo yatozwe kodi. hakuna maana kama huduma za lazima ni mbovu af, uje kuipata kwa gharama kubwa.
  13. A

    TRA na ushuru wa kuingiza gari

    kuna hatari ya kusugua soli hadi kieleweke. napata wasi wasi na ishu ya kodi kwenye viatu inakuja....Hapo AKILI itakuja.
  14. A

    Naiona Tz 2030 hiyooo

    si tume tu, aangalie pia katiba inashidaaaa kibao
  15. A

    Mapendekezo ya wananchi: Muundo wa Baraza la Mawaziri kwa Serikali ya Awamu ya Tano

    tunataka utuwekee mada za kujenga. chama hakita kupeleka popote. hivyo ungetuambia labda kuhusu athari au faida za mh. rais kuendesha nchi kwa mwezi sasa bila baraza la mawaziri.. ningeona mada imekaa mkao. any way rais bado anasiku za kutosha kutafakari na kuamua kuteua nani watakuwa mawaziri...
Back
Top Bottom