Kwa nini ninyi mpite naye? Alah anafanya nini wakati huo? Kwanini Alah asipite naye?
Its either Allah hayupo au ni powerless and weak, anayehitaji kutetewa na kupiganiwa
Just basic history
Mtume wa mungu gani?
Kama ni mungu Alha
Kwa hiyo hao wenyeji(Cannites) ndio hao wapalestina?
Unaona mnavyojichanganya!!!
1. Mara mseme Wapalestina ni wana wa israel waliotajwa kwenye Quran ila walibadili dini kuwa waislam
2. Mara mseme hao wenyeji waliokutwa na waisrael...
Unamjua huyo Gregory ambaye calender inatumia jina lake alikuwa nani?
Alikuwa Papa Wa kanisa Katoliki. Nenda google search Pope Gregory XIII. Kanisa ndio lilitengeneza hii calender chini ya papa Gregory.... na ndio maana Inaitwa Gregorian calendar
Gregorian calendar ni kazi ya kanisa.
Wapalestina Waliwahi kupewa hifadhi nchini Jordan mwaka 1970 baada ya kupigwa na Israel.
Cha ajabu baada ya muda wakiwa hapo Jordan wakataka kumpindua Mfalme wa Jordan, King Hussein... ambaye mwanzo ndiye aliwakirimu na kuwakaribisha.
Tukio hili huitwa The BLACK SEPTEMBER. Just google Black...
Wayahudi walimzidi Mudi kila kitu. Hata alipoanzisha movement yake ya Uislam ilibidi aige story za vitabu vya wayahudi. Hata manabii aliokoteza manabii na watu maarufu wa kiyahudi (eg Musa, Suleiman,Daviid) akadai ni wa uislam...
Pili, Hawaitwi mayahudi...wanaitwa WAYAHUDI.
Mudi aliwachukia...
Kama myahudi ameweza kupandikiza top leadership ya Misri, UAE, Kuwait,Qatar na Saudi basi ni wazi kuwa Myahudi amewazidi waarabu akili sana.
Wayahudi walimzidi mpaka Mudi akili ndio maana kwenye Quran ameishia tu kulalamika na kuwatupia laana...ambazo hazijafanya kazi mpaka leo.
Toka miaka...
Mchungaji anachunga kondoo. Sio zaidi ya hapo. Ni mchungi wa kondoo wa Yesu.
Kuhani ni KIUNGANIKO kati ya Mungu na wanadamu wakati ule ambapo Yesu alikuwa hajaja. Watu waliweza kumfikia Mungu kupitia Kuhani. Na kazi ya kuhani ilikuwa Kutoa sadaka za kuteketezwa...zile za kuchinja wanyama.
Na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.