Good hili jambo la Mo and GSM kuja (brand new) team mpya kama Azam instead of Simba na Yanga lingefanya ligi yetu kuongezeka ushindani as you know mpira demand a lot of financial muscles. Ila all the best kwao kwani kila mtu huwa na maamuzi yake na mapenzi yake alafu wanafurahia wanachokifanya...
Action speak louder than words. I believe mafanikio ya simba yana sababishwa na matendo mazuri ya Simba ndani uwanja. Pia manara alikosa weledi kwenye swala la (conflict of interest) akijiona mkubwa kuliko simba. All in all simba is bigger than Manara
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.