Recent content by AmaniPmassam

  1. AmaniPmassam

    Mo Dewji na GSM anzisheni timu zenu

    Good hili jambo la Mo and GSM kuja (brand new) team mpya kama Azam instead of Simba na Yanga lingefanya ligi yetu kuongezeka ushindani as you know mpira demand a lot of financial muscles. Ila all the best kwao kwani kila mtu huwa na maamuzi yake na mapenzi yake alafu wanafurahia wanachokifanya...
  2. AmaniPmassam

    Manara apigwa chini CCM kwa utapeli wa magari

    Historia inaonyesha manara alikuwa mwizi wa magari ya ccm kwa kuuza bila ridhaa ya ccm hivyo manara ni kibaka kwenye mpira
  3. AmaniPmassam

    Kati ya Haji na Barbara nani hapa kazichanga vyema karata zake na yupi kajimaliza na atajutia milele?

    Action speak louder than words. I believe mafanikio ya simba yana sababishwa na matendo mazuri ya Simba ndani uwanja. Pia manara alikosa weledi kwenye swala la (conflict of interest) akijiona mkubwa kuliko simba. All in all simba is bigger than Manara
  4. AmaniPmassam

    Hans Pope: Manara hataki kusaini mkataba ambao atalipwa milioni 4

    GENTAMYCINE ume conculed vizuri na ukweli mtupu.
  5. AmaniPmassam

    Hongera Elon kwa kupata mtoto. Mtoto apewa jina la X Æ A-12

    Hongera kwa musk but jina la mtoto wake n unique sana
  6. AmaniPmassam

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Break time
  7. AmaniPmassam

    Leo tukichambue Kitabu cha Nchi Yakusadikika

    Wengine hatukijui hicho kitabu.
  8. AmaniPmassam

    Miaka 6 ya Utetezi wa Wananchi: Happy Birthday ACT Wazalendo 5-5-2020

    Zitto kila kitu unafanya mwenyewe
Back
Top Bottom