GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,548
- 108,858
Je, ni Haji Manara ambaye baada ya Kuuamisha Umma kuwa anaonewa hivyo alitamani Simba SC ifungwe majuzi ili aje Kummaliza vyema Adui yake Kisha akaendelee zake Kupiga Pesa ASAS Diary, Azam Products na GSM au ni CEO Barbara Gonzalez ambaye pamoja na Shutuma zote alizopewa ila alichagua Kunyamaza mpaka Simba SC iibuke Mshindi katika Fainali ya ASFC kisho ndipo aje Kummaliza vizuri Adui yake na awe sehemu salama Kuiendesha Simba SC Kiuweledi zaidi akiwa na Wasaidizi wanaojitambua kuanzia kiakili na kimaadili?
Nasubiri Majibu yenu japo nimeshangazwa kutaarifiwa hivi punde kuwa Yule Yule aliyeomba Mwenyewe kuachana na Simba SC tena kwa Jeuri na Nyodo zote ndiyo huyo huyo baada ya Kuona Klabu ya Simba imetoa Tangazo la Mbadala wake ghafla akaangua Kilio Kikubwa Kwake Mikocheni jirani na Ofisi za Kampuni ya Simu ya Halotel.
Simba SC ni Kubwa kuliko yoyote Yule!
Nasubiri Majibu yenu japo nimeshangazwa kutaarifiwa hivi punde kuwa Yule Yule aliyeomba Mwenyewe kuachana na Simba SC tena kwa Jeuri na Nyodo zote ndiyo huyo huyo baada ya Kuona Klabu ya Simba imetoa Tangazo la Mbadala wake ghafla akaangua Kilio Kikubwa Kwake Mikocheni jirani na Ofisi za Kampuni ya Simu ya Halotel.
Simba SC ni Kubwa kuliko yoyote Yule!