Recent content by amani tele

  1. A

    Nyumba Inauzwa Kawe "A"

    mtaa iliyopo hiyo nyumba, je, gari linafika? Packing
  2. A

    KUFURU: Posho Bunge la Katiba ni sh 700,000 kwa siku!

    Anasaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
  3. A

    shamba linauzwa goba dar es salaam

    balaa hiyo bei
  4. A

    Kambi ya Green guard Yavunjika na kumsusia Mke wa Waziri

    Tusaidie kutoa elimu bora ya uraia kwa vijana wetu kuipenda Tanzania yetu kwa moyo wao wote
  5. A

    Wadada na nguo fupi!!!

    Bora kina mama je, wavulana wanaovaa kata K? michupi michafu inaleta uchafu kabisa kwenye jamii. Wanaume tusaidie kupiga vita ili tuwe na moral authority ya kuwaambia kina mama.
  6. A

    'Mbunge wa Tarime: Sitatoa wala kupokea rushwa katika maisha yangu

    Mungu amsaidie nini? asitoe, asijulikane, au ?
  7. A

    Ukweli kuhusu gonjwa la UKIMWI

    Wala hawahitaji UKIMWI kututawala, rushwa tu na vita vya wenyewe kwa wenyewe.
  8. A

    Hahaha Lara 1.....!!!!

    kazi true true
  9. A

    TAHADHARI: Wizi kwa unaempa lift

    Wewe abiria dreva anakuibiaje?
  10. A

    TAHADHARI: Wizi kwa unaempa lift

    ?????????????????????????!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
  11. A

    Mwanza: Watu watatu wa familia moja waliuawa kikatili, kwa kunyongwa na watu wasiojulikana

    Tutafanyeje kuondokana na hali hii. Tuanze kwenye familia na ndugu zetu kuzunguzana na kusaidiana.
  12. A

    Honey badgers don't care!

    Nyegere balaa kama mbali nacho, kina kuna nakoz za korodani.
  13. A

    Nape: Tupo Dodoma kujadili maoni ya Wana CCM kuhusu katiba,CHADEMA mmechemka!

    Kwa vyama vingine ukumbi hautatosha naamini.
Back
Top Bottom