Recent content by Amani Mikakati

  1. A

    Hii cartoon noma, imefikisha ujumbe rasmi

    hatari sanaaaaa,,,,,,
  2. A

    CCM ya Kikwete na Magufuli, Full 'Udikteta'!!

    lowassa anatosha, pombe atasubiri 2035 tutampa nchi akiwa ameshakomaa ki akili.
  3. A

    Juma Duni: UKAWA imebaini kuna kura hewa milioni 9

    bao la nape kazini hi ni hatari kwa taifa lzm tupate ufafanuzi la siyvo kuna wstu the hugue inawasubiria
  4. A

    Taharuki ya kushindwa vibaya kwa CCM yatanda kwa makada wake

    na bado kazima mwigulu apige kilio cha mbwa mwizi
  5. A

    Bendera za CCM zaiteka Arusha

    Kuna kilaza m1 wa ccm ameweka bendera kwenye miti yote ya mji wa moshi ukienda kwenye nyumba za uswali zote ameweka picha mpaka anatia huruma sna, nasikia anampango wa kutandika kitamba cha kijani kweny barabara zote za lami mjini moshi. Hapa kazi tu
  6. A

    CCM yazidi kupukutika Arusha, Mwenyeviti wawili wahamia CHADEMA

    Jamani nape,kinana,jk na mzee wa tingatinga watapata mshtuko wa moyo na shinikizo la damu bure. Ukawa kuweni na huruma japo kidogo
  7. A

    Ushauri wangu kwa CHADEMA, CUF, NLD NCCR-Mageuzi (UKAWA)

    Ila ccm lazma ipigwe bao la kisigino hawataamini macho yao
  8. A

    Hali mbaya UKAWA

    Rabbish
  9. A

    Yaliyojiri : Mkutano wa Mgombea wa CHADEMA Lowassa, Masasi 22/09/2015

    Utasikia wanadai tumecopy na kupaste, mwaka huu wataisoma namba wajinga wale
  10. A

    Taswira ya TWAWEZA na UWEZO Kenya, Uganda na Tanzania inaenda kuingia doa na dosari kubwa

    sikujua maccm ni hopeless kihasi hichi, ila twende kazi tutajua mbele ya safari, ila wallai uhuni huu atalia mtu siku moja.
  11. A

    Mafuriko ya kutengeneza yana madhara makubwa

    Umesema vizur sna ila kwa miccm maneno kama haya hawapendi kusikia kabisa kwani kwao ni kama harufu ya kinyesi cha paka
  12. A

    Acer Dealer kwa Dar wanapatikana wapi?

    mkuu naomba location vizuri wengine tupo mbali na tuna shida ya keyboard aspire 5735-6694 kama una mawasiliono ya hilo duka, in short more details ili niweze kufika hapo kwa urahisi zaidi
  13. A

    Lowassa ana bahati sana, sababu Magufuli hafai

    utathani ametubeba mgongoni kweka. Mwaka lazima atazimia mtu kwa mshtuko wakimuona lowassa pale sittingroom ikulu
Back
Top Bottom