Chenge
JF-Expert Member
- Oct 5, 2011
- 1,073
- 378
Hayo ni kwa mujibu wa mgombea mwenza wa Chadema Babu Duni. Amesema NEC wamendaa vituo vya kupiga kura 22,000 ambapo kwa idadi ya wapiga kura 450 kwa kituo ni jumla ya wapiga kura takribani milioni 33 tofauti na takwimu za Tume za wapiga kura milioni 24.
Chanzo: Channel ten habari
Chanzo: Channel ten habari