Recent content by Aman Martins

  1. A

    JamiiForums Tanzania GE2025 Ahadi za Mgombea Urais CCM, Samia Suluhu Hassan kwa siku 100 za kwanza za uongozi wake miaka mitano ijayo (2026 -2030)

    Anaandika @aman_martins Hapo Juu ni picha iliyonivutia kutoka katika tukio la Uzinduzi wa Kampeni za CCM. Picha iliyobeba historia kubwa ya nchi yetu inayoambatana na kampeni za mwaka huu: Ni mara ya kwanza kwa Chama Cha Mapinduzi kumsimamisha mgombea mwanamke kuomba Urais, na ni mara ya...
  2. A

    JamiiForums Tanzania GE2025 Ahadi za Mgombea Urais CCM, Samia Suluhu Hassan kwa siku 100 za kwanza za uongozi wake miaka mitano ijayo (2026 -2030)

    Anaandika @aman_martins . Hapo Juu ni picha iliyonivutia kutoka katika tukio la Uzinduzi wa Kampeni za CCM. Picha iliyobeba historia kubwa ya nchi yetu inayoambatana na kampeni za mwaka huu: Ni mara ya kwanza kwa Chama Cha Mapinduzi kumsimamisha mgombea mwanamke kuomba Urais, na ni mara ya...
  3. A

    JamiiForums Tanzania Kamati ya kuchunguza mkataba wa Lugumi hadharani

    Wana katabia ka kukurupa...kufanya vitu bila uhakika. ...mwanzo walijaribu kutuaminisha kwamba Lugumi ni "jipu".....leo wanataka siku 30 kuchunguza. ....Kamati hii tia maji tia maji sana
  4. A

    JamiiForums Tanzania Rais kumpigia simu Spika na kumuamrisha ni sahihi?

    Soo how did Msigwa know that "Rais anampigia simu Spika" ?
  5. A

    JamiiForums Tanzania Sakata la Lugumi: PAC wanatuchanganya.

    Kwa majuma kadhaa sasa, baadhi ya Wanasiasa wamekuwa na hoja ya kuhusu Mkataba Tata wa Lugumi . Kwa namna ambavyo walikuwa wakizungumza ni kana kwamba tayari wana uhakika kwamba kampuni ya Lugumi haikutekeleza mkataba. Baadhi ya watu walidai kwamba kampuni ya Lugumi ilipata Tenda kinyume na...
  6. A

    JamiiForums Tanzania Lady Jay Dee - Ndi Ndi Ndi (Audio & Video Teaser)

    Waaat a come back? Jide yuko sawa sana.
  7. A

    JamiiForums Tanzania Lady Jay Dee - Ndi Ndi Ndi (Audio & Video Teaser)

    Bonge la chupa
  8. A

    JamiiForums Tanzania Marais Wenye Utajiri Zaidi Afrika

    Africa ni Bara la pili kwa idadi ya watu Duniani baada ya Bara la Asia. Wananchi wengi wa Kiafrika wanapitia maisha magumu kiasi cha wengine kuishia kupata mlo mmoja tu kwa siku. Haihitaji kuwa na Shahada ya Uchumi ili kuweza kufahamu kwamba nchi nchi nyingi za Kiafrika bado zina uchumi wa hali...
  9. A

    JamiiForums Tanzania Jifunze kwa Aliko Dangote

    Moja ya siri zinazoweza kukusaidia kufanikiwa katika biashara ni kuweza kujifunza kutoka kwa wafanyabiashara Waliofanikiwa. Ni busara na vyema sana kuangalia waliofanikiwa katika biashara walipitia njia gani ili na wewe uweze kuzifuata njia hizo, na kama zina makosa uweze kuziepuka...
Back
Top Bottom