Recent content by amaizing grace

  1. amaizing grace

    Nifanyeje ili JKT wajue nimesoma?

    Provisional results....
  2. amaizing grace

    Tunao tarajia kwenda JKT tukutane hapa tupeane ujuzi

    Ushoga unaambiwa uvue nguo zote uiname alafu upanue miguu kisha ukohoe.. Kama ww ni shoga kundu lote litafungukaaa.... Samahanini kwa lugha chafu niliyotumia.. Nataka muelewe vzr
  3. amaizing grace

    Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) limetangaza nafasi za kujiunga na mafunzo kwa wakujitolea, 2017

    Kwa ushauri weka vyeti vyako vyote vya academic... Usisahau cha kuzaliwa na leaving certificate . Hvyo ndo muhimu sana.. Weka cha kuzaliwa... Cha kumaliza la saba kama unacho... Cheti cha kuhitimi form 4..cheti cha matokeo form 4 na 5..weka vyoteeeeee
  4. amaizing grace

    Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) limetangaza nafasi za kujiunga na mafunzo kwa wakujitolea, 2017

    Embu nipe kidogo ujuzi wa usahili kama unajua maana sina hata idea
  5. amaizing grace

    Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) limetangaza nafasi za kujiunga na mafunzo kwa wakujitolea, 2017

    Arusha, wilaya ya arusha mjini wameanza leo kupokea barua usahili n tar 14 nov... Wiki ijayo!
  6. amaizing grace

    Tunao tarajia kwenda JKT tukutane hapa tupeane ujuzi

    Kwa hku Arusha wanataka tuanzie kata sijajua kwa mikoa mingne...lazma mchujo ufanyike mkoa mzma
  7. amaizing grace

    Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) limetangaza nafasi za kujiunga na mafunzo kwa wakujitolea, 2017

    Wamesema kama ww n mtumishi wa serikali hutaruhusiwa... N moja kati ya vigezo mkuu
  8. amaizing grace

    Series (Special thread)

    Asanteee ngoja niianze leo... Sent from my SAMSUNG-SGH-I337 using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom