pol dauda
Senior Member
- Sep 21, 2017
- 127
- 45
Hey, habari zenu ndg zangu, sorry naomba msaada kwa hili.
Nimesoma nurse midwives (enrolled nurse) na nataka niingie JKT, sasa tatzo vyeti vyangu bado viko chuoni nadaiwa wakuu vya utaalamu.
Je?nitaambatanisha vipi ili waamini kuwa nimesomea na nina ujuzi huo ?!! Ila vyeti vingne ninavyo, nilitaman kuambatanisha copies za hiyo proffesional.
Msaada jamani karibuni
Ahsante
Nimesoma nurse midwives (enrolled nurse) na nataka niingie JKT, sasa tatzo vyeti vyangu bado viko chuoni nadaiwa wakuu vya utaalamu.
Je?nitaambatanisha vipi ili waamini kuwa nimesomea na nina ujuzi huo ?!! Ila vyeti vingne ninavyo, nilitaman kuambatanisha copies za hiyo proffesional.
Msaada jamani karibuni
Ahsante