Recent content by Am mackdy

  1. A

    Nimekua natokewa na hali inayohatarisha maisha yangu

    Ndugu zangu hii thread imeendeleajee ,nahitaju kufahamu na mm nipate msaada pllllz
  2. A

    Mwanamke wapimwe akili kabla ya kupewa mtoto baada ya kujifungua

    I like this dr ,niko into discomfort icyo ya kawaida baada ya kuhic niko na tatizo la mental health OCD ,yaan cjui ndio kuwa confused kwenyewe huku I need help for this current time
  3. A

    Hali gani hii? Je, watu wengine huwa mnapata?

    Jaman ndugu zang naomba kuuliza juu ya hii Hali Sijui Kama ni Hali tuu ya kawaida!!? Kwani huwa napata hali ya kuwa nashahuku ya kubonyeza juu ya kucha zangu mara kwa mara ama kucha kuingiza ndan ya kucha nyingine katika mkono huo huo kwa kuhisi labda kuna uchafu ( that how far i ve tried to...
  4. A

    Mental health[with a light touch]

    Here in 2020 I like this why are there no replies ,nataman sana hii chat sbb ninawasi wasi juu yangu
  5. A

    Nahitaji Psychologist

    Yier this is very true kuwa hii ni mental health problem nd I think depression were you experience long time sadness with no reasons , myself I doubt of having OCD ndio maana I visit much via forums to get clues nd I expect to see a pyschiatrist currently .Guys for what I come to realize ni...
  6. A

    Psychotherapist/Psychologist is need

    Hii ndio tatizo lenyewe la watu wenye mental health problems , specifically depressions ,wanatatizo ila ugonjwa wao mkuu hawaoendi kushare
  7. A

    Psychotherapist/Psychologist is need

    That is the meaning for forums then ,place it here that we can digest many people have issues that need pyschiatrists or pychotherapist
  8. A

    Anayejua chochote kuhusu lutindi mental unit ya Korogwe Tanga. Msaada unahitajika

    Ni 2020 ss ,naomba kujua kama ulifanikiwa na vp Hali ya mgonjwa inaendeleaje
  9. A

    Je, wajua kuhusu sera na sheria ya afya ya akili

    Ndugu zangu huu uzi nmefurahia sana na na natamani hili liweze fika mbali sana sbb watu wengi wanna mental issues sema hawatambui ,sbb mm mwnyw hapa npo nafanya mpango niweze onana na psychiatrist kwan ninahofu pengine nikawa Nina OCD ,ivyo jaman huu uzi uweze kufika mbali jaman hadi kwa uyo...
  10. A

    Naomba msaada juu ya matibabu yanayohusu afya ya akili

    Kaka ni 2020 ss ,vp unaendeleaje na ulifanikiwa
  11. A

    Naomba msaada juu ya matibabu yanayohusu afya ya akili

    Jaman ndugu huu uzi wa hili swala natamani sana sbb nahisi kbs kuwa mhanga wa OCD
  12. A

    Afya ya Akili (Mental Health)

    Ndugu zangu ni 2020 ila nmependa sana hii thread nataman conversation iendelee sbb najihisi mm nimuhusika sana wa OCD ,nazid kutaman kujua kuhusu dawa zake
  13. A

    Kuwa na hofu na mapigo ya moyo kwenda kasi

    Jaribu kuingia YouTube search sensorimotor OCD kama kiingereza unaelewa fresh uview some videos pengine ukaelewa kitu ,au hyperawareness of heartbeats
Back
Top Bottom