Ulisikia Wapi hujatueleza wewe ni Mke Au Mume? Umri wako?una kilo ngapi?unayo hayo matatizo tangu lini? jibu maswali yangu nikupe ushauri mzuri.Ushauri wakuu ni kwa namna gani naweza epukana na kadhia hii
Mimi ni MeUlisikia Wapi hujatueleza wewe ni Mke Au Mume? Umri wako?una kilo ngapi?unayo hayo matatizo tangu lini? jibu maswali yangu nikupe ushauri mzuri.
Je unapo lal huwa unaota ndoto gani?ulisha pima Hospitali damu Full blood picture?Mimi ni Me
Umri wangu miaka 21
Uzito Kg 59
Hii hali ilianza mwaka 2014
Karibu kwa ushauri mkuu
Hpn hakuna ndoto yoyote ninayootaJe unapo lal huwa unaota ndoto gani?ulisha pima Hospitali damu Full blood picture?
Sijuwi gharama zake wewe nenda hospitali ya Hindul Mandal aka hospitali ya wahindi iko maeneo ya upanga kama upo mjini Dar. La kaa upo mji mwengine nenda Hospitali kubwa yoyote ya karibu unapo ishi kaulize watakwambia gharama yake .Usiende Hospitali za kliniki.Hpn hakuna ndoto yoyote ninayoota
Khs full blood picture, labda nikijua gharama zake kwanza mkuu
Sawa mkuu nikishafanya hivyo nitarudi hapaSijuwi gharama zake wewe nenda hospitali ya Hindul Mandal aka hospitali ya wahindi iko maeneo ya upanga kama upo mjini Dar. La kaa upo mji mwengine nenda Hospitali kubwa yoyote ya karibu unapo ishi kaulize watakwambia gharama yake .Usiende Hospitali za kliniki.
Kapime kisha uje utuambie wamekwambiaje unayo maradhi gani? kama hawaja ona maradhi utakuwa unayo maradhi ya uchawi itabid ututafute kwa wakati wako tupate kukutibia upate kupona.Sawa mkuu nikishafanya hivyo nitarudi hapa
okSawa mkuu nikishafanya hivyo nitarudi hapa
Ushauri wakuu ni kwa namna gani naweza epukana na kadhia hii