Akili fupi ni fupi tuu!!! Acheni kutafuta kick kwa kujishika na mnyika.
Mmesha amua kufanya yenu fanyeni yanu. Mbona hata huyo ZZK anaujua ukweli ama nyinyi mmekunywa maji ya bendera?
Bado hainiingi akilini kusema mamvi atajiunga na ACT, swali ikiwa atajiunga na ACT je baraza la mawaziri atalitoa wapi ikitokea kushinda kwa kupitia ACT?
CHADEMA IMELENGA KICHWA NA SIO MKIA AKINA SHIBUDA. Shibuda analia na hela ambayo imakatwa na zitto kutokuipata tena maana alikuwa anakula kila mwezi kwa ajili ya usaliti wao
Kwenye uadui umeongopa na umekuja kaa malengo ya kumsafisha.
Baada ya ya ZITTO kuunga mkono PENDEKEZO la CHENGE makinda alipitisha lile azimio, then ZITTO aka pendekeza kuwa kwa hayo mambo saba yaliyobakia nayo yaachiwe mamlaka zilizo wateua, makinda nae akauliza wabunge nayo yakapitishwa...
Mwigulu hili song linunue maana ulisha lianzisha, so sijui una lalama nini.
Kama KITILA kwako ni lulu mbona alifukuzwa CCM? Na kama ww ni mwema na lijichama lako wachukueni maana nyie ndo mna akili kubwa. Akili kubwa naona inapoteza maana, kama akili kubwa ndo hiyo unayo idefine kwa hawa na ww...
Mm shabiki wa yanga but inapokuja suala la simba na yanga kuna mafedhuli nina yaona ni mapuuzi.
Simba wana wanunua vijana wa jangwani yaan kinsingi vijana wa jangwani hawana uzalendo hata kidogo.
Wanafanyiwa mengi ya kutosha lkni nado njaa sana tuu. Simba nikiri tuu ni timu inayo mshikamano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.