Recent content by alvoo

  1. A

    Tundu Lissu ameanza kuishi kwa uwongo na udanganyifu!!

    Kwani Hugo Edo akiwa Chadema umeambiwa ataitetea hiyo ya CCM????
  2. A

    Lowassa Hafai! Yes I said It - Sababu ya I

    Lizabon NIPE JINA LA RAISI UKIMTOA LOWASSA
  3. A

    Majibu ya Mnyika kwa Zitto ya Ubunge Ubungo 2010

    Hahahahahhahaha Mnyika huna haja ya kulumbana na wendawazimu, sasa kama msaliti asiambiqe ukweli?
  4. A

    Ushahidi wa Jinsi Zitto alivyompigania Mnyika Jimbo la Ubungo 2010!

    Akili fupi ni fupi tuu!!! Acheni kutafuta kick kwa kujishika na mnyika. Mmesha amua kufanya yenu fanyeni yanu. Mbona hata huyo ZZK anaujua ukweli ama nyinyi mmekunywa maji ya bendera?
  5. A

    Yanga: Mechi yetu na Etoile du Sahel haitaonyeshwa runingani

    Hapa ni kuwa challange ili mnunue tickets na mkaangalie
  6. A

    Mkutano wa ACT-Wazalendo mkoa wa Dodoma (Tarehe 14 Aprili, 2015)

    Bado hainiingi akilini kusema mamvi atajiunga na ACT, swali ikiwa atajiunga na ACT je baraza la mawaziri atalitoa wapi ikitokea kushinda kwa kupitia ACT?
  7. A

    ACT - Wazalendo: Mkutano mkubwa Morogoro (ngome ya CCM) - Aprili 13, 2015

    Mbona sioni watu wakijiunga kwenye mikutano ya ACT?
  8. A

    Hiki ndicho kilichosababisha Sugu kung'aka, "Mimi sio mbunge wa wasanii''

    What is the function of shadoq minister?
  9. A

    Shibuda si riziki CHADEMA

    CHADEMA IMELENGA KICHWA NA SIO MKIA AKINA SHIBUDA. Shibuda analia na hela ambayo imakatwa na zitto kutokuipata tena maana alikuwa anakula kila mwezi kwa ajili ya usaliti wao
  10. A

    Tundu Lissu rudi Shule

    Mpe moyo ila kumbuka katiba hiyo naye alishiriki kuitunga so kama sheria ujuavyo ni msumeno na safari hii imekula kwake
  11. A

    Zitto Kabwe: Adui, Rafiki, Kipenzi

    Kwenye uadui umeongopa na umekuja kaa malengo ya kumsafisha. Baada ya ya ZITTO kuunga mkono PENDEKEZO la CHENGE makinda alipitisha lile azimio, then ZITTO aka pendekeza kuwa kwa hayo mambo saba yaliyobakia nayo yaachiwe mamlaka zilizo wateua, makinda nae akauliza wabunge nayo yakapitishwa...
  12. A

    Alichofanyiwa Zitto ndani ya CHADEMA: Akili ndogo inatawala akili kubwa

    Mwigulu hili song linunue maana ulisha lianzisha, so sijui una lalama nini. Kama KITILA kwako ni lulu mbona alifukuzwa CCM? Na kama ww ni mwema na lijichama lako wachukueni maana nyie ndo mna akili kubwa. Akili kubwa naona inapoteza maana, kama akili kubwa ndo hiyo unayo idefine kwa hawa na ww...
  13. A

    Dar Derby: Who will triumph, Simba or Yanga?

    Mm shabiki wa yanga but inapokuja suala la simba na yanga kuna mafedhuli nina yaona ni mapuuzi. Simba wana wanunua vijana wa jangwani yaan kinsingi vijana wa jangwani hawana uzalendo hata kidogo. Wanafanyiwa mengi ya kutosha lkni nado njaa sana tuu. Simba nikiri tuu ni timu inayo mshikamano...
Back
Top Bottom