Recent content by Alpha Jr

  1. A

    JamiiForums Tanzania Vipimo vya Ramani hii

    Ngoja nitafute mtaalam, nilijua mdau yoyote anaweza kuwa na vipimo vyake maana nimeifuma mtandaoni huko.
  2. A

    JamiiForums Tanzania Vipimo vya Ramani hii

    Kweli
  3. A

    JamiiForums Tanzania Vipimo vya Ramani hii

    Ndio Mkuu, Room mbili tu hapo na kasebule ka kishkaji
  4. A

    JamiiForums Tanzania Vipimo vya Ramani hii

    Aisee, taratibu Mkuu
  5. A

    JamiiForums Tanzania Vipimo vya Ramani hii

    Habari wakuu. Mwenye vipimo vya hii ramani naomba
  6. A

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni muda sasa umepita toka niachane na mpenzi wangu

    Boss hawa wanawake waone hivihivi aisee. Una moyo mzuri Ila I doubt utapata anaejali Kama wewe. Ni Kama ngamia kupenya kwenye tundu la sindano. Ushauri 1. Mtumikie muumba wako, tafuta hela mambo ya wanawake achana nayo, watakuja wenyewe tu, ( Na watakao kuja usimwamini hata mmoja) " maana siku...
  7. A

    JamiiForums Tanzania Serengeti: Amuingizia mkewe panga sehemu za siri

    Usijaribu
  8. A

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hatimaye na Mimi yamenikuta

    Ha ha aisee
  9. A

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hatimaye na Mimi yamenikuta

    Sio kweli
  10. A

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hatimaye na Mimi yamenikuta

    Asante Mkuu. Achana nae huyo
  11. A

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hatimaye na Mimi yamenikuta

    Ha ha ha ni rahisi Sana. Uamuzi tu
  12. A

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hatimaye na Mimi yamenikuta

    Kama huwezi vumilia zinaa oa
  13. A

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hatimaye na Mimi yamenikuta

    Ha ha ha nimemsamehe Mkuu
  14. A

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hatimaye na Mimi yamenikuta

    Nashukuru Kwa ushauri mzuri. 1. Sio mara ya Kwanza kujua ana mahusiano nje ya ndoa 2. Mimi sio mchepukaji yaani sijawahi chepuka. Hivyo sipendi usaliti 3. Sijamuhukumu ndio maana nimemsamehe, sijampiga, sijamgusa, wala kumtukana. Na Mali zote nimemuachia ili asipate shida mwanzoni, najua baadae...
  15. A

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hatimaye na Mimi yamenikuta

    Kupitia mawasiliano yake ( texts na voice calls) Mkuu sadly I was too late
Back
Top Bottom