Recent content by Alpha Jr

  1. A

    Vipimo vya Ramani hii

    Ngoja nitafute mtaalam, nilijua mdau yoyote anaweza kuwa na vipimo vyake maana nimeifuma mtandaoni huko.
  2. A

    Vipimo vya Ramani hii

    Ndio Mkuu, Room mbili tu hapo na kasebule ka kishkaji
  3. A

    Vipimo vya Ramani hii

    Aisee, taratibu Mkuu
  4. A

    Vipimo vya Ramani hii

    Habari wakuu. Mwenye vipimo vya hii ramani naomba
  5. A

    Ni muda sasa umepita toka niachane na mpenzi wangu

    Boss hawa wanawake waone hivihivi aisee. Una moyo mzuri Ila I doubt utapata anaejali Kama wewe. Ni Kama ngamia kupenya kwenye tundu la sindano. Ushauri 1. Mtumikie muumba wako, tafuta hela mambo ya wanawake achana nayo, watakuja wenyewe tu, ( Na watakao kuja usimwamini hata mmoja) " maana siku...
  6. A

    Hatimaye na Mimi yamenikuta

    Ha ha aisee
  7. A

    Hatimaye na Mimi yamenikuta

    Asante Mkuu. Achana nae huyo
  8. A

    Hatimaye na Mimi yamenikuta

    Ha ha ha ni rahisi Sana. Uamuzi tu
  9. A

    Hatimaye na Mimi yamenikuta

    Kama huwezi vumilia zinaa oa
  10. A

    Hatimaye na Mimi yamenikuta

    Ha ha ha nimemsamehe Mkuu
  11. A

    Hatimaye na Mimi yamenikuta

    Nashukuru Kwa ushauri mzuri. 1. Sio mara ya Kwanza kujua ana mahusiano nje ya ndoa 2. Mimi sio mchepukaji yaani sijawahi chepuka. Hivyo sipendi usaliti 3. Sijamuhukumu ndio maana nimemsamehe, sijampiga, sijamgusa, wala kumtukana. Na Mali zote nimemuachia ili asipate shida mwanzoni, najua baadae...
  12. A

    Hatimaye na Mimi yamenikuta

    Kupitia mawasiliano yake ( texts na voice calls) Mkuu sadly I was too late
Back
Top Bottom