HBR WANAJAMVI!
NAJARIBU KUANGALIA HALI YA KISIASA NCHINI KWA SASA NA NIMEGUNDUA KUWA KUNA TOFAUTI KUBWA WAKATI CHADEMA IKIWA NA DR. SLAA NA YA SASA BILA DR. SLAA. SIJAONA KUIBULIWA KWA HOJA NZITO ZENYE MASHIKO, SIJAONA MIKAKATI ENDELEVU SIJAONA LOLOTE NAONA TU CHAMA KIKIRUDI CHINI CHINI ZAIDI...
MASHA AMPA MENGI SIKU SABA
WAZIRI wa Mambo ya Ndani, Lawrence Masha, amempa siku saba Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP, Reginald Mengi, kuthibitisha madai ya kutishiwa kuuawa na suala kwamba kuna waziri anayepanga kumfilisi.
Pia amesema kuwa madai hayo ya Mengi ni mazito na umefika wakati...
Kwa lita 5 za mafuta, siyo lazima kubadili chama
Dhana ya baadhi ya sisi Watazania ya kwamba kuondoa Mfumo wa utawala wa nchi ni lazima kubadilisha chama ili kuleta mabadiliko ya Maendeleo ya Kiuchumi na maisha bora kwa kila mwanachi siyo sahihi. Dhana hii imekuwa ikitolewa mfano wa Kenya na...
ulikuwa wapi wakati lipumba anapinga lowassa kuja ukawa, ulikuwa wapi wakati profesa safari alipolalamika kuibiwa kura wakati anagombea uenyekiti CUF hadi akahama. Ulikuwa wapi wakati CUF inasema chadema wanaingilia ngome yao temeke kwa kwenda kufanya mkutano wa hadhara. subiri mahanga agombee...
Jumapili iliyopita katika kipindi cha watoto ITV Shangazi alikuwa anawasimulia watoto kisa cha wanyama kumtafuta mfalme. Ili kutochosha namalizia mwishoni wakati simba anachaguliwa kuwa mfalme. Kamati ya uteuzi ilimchagua simba atawale baada ya kuomba ateuliwe yeye, kwa sababu tu wanyama...
CCM imeanza kuzaliwa upya na kutakaswa CCM ni chama kikongwe na chenye nguvu kubwa barani Africa. Ni chama pekee chenye mikakati chanya na yenyetija ukilinanisha na vyama vingine vilivyoleta uhuru Tanzania.
Kwa muda mrefu chama hiki kimepitia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.