Hao akina Nape utawashauri nini? Kwani kukaa kwenye ofisi ya umma basi wanajiona kuwa wao wana akili kuliko watu wengine.wacha wakoselewe ipo siku watafunguka kichwa.
Nchi ya kila kitu siri,mikataba ni siri, mali za viongozi ni siri, na sasa bunge nalo limeambukizwa na Nape limekuwa siri.Tunarudishwa nyuma miaka ishirini aibu aibu.Madkiteta walianza hivyo hivyo.Ipo siku watasema hakuna uchaguzi ccm iendelee sijui mtapiga makofi na kushangilia?Someni historia...
Unasikitisha sana siyo lazima ujibu unaweza kunyamazatu.Na labda hujui maana ya live.Hatutaki habari ya bunge iliyochkachuliwa kwisha.Wabunge wa ccm wanasingizia kubana matumizi mbona hawajapunguza posho zao?Hukumu yao inakuja 2020.Wasifikiri watasafiria nyota ya Magufuli imekula kwao.
Wanataja pamoja na familia zao?Maana unaweza kusaidia familia yako kupata utajiri wa kupindukia kwa kuwa sheria haiwabani.Sheria inasemaje kuhusu hilo?
Unajishushia hadhi wewe watu wanazungmzia kuona live wewe na Chadema kwani Camera zinachagua? Sema hutaki watu waone matusi ya akina kibajaji na mengineyo.
Hakika jana Mafuru amenishangaza sana lkn lazima amtetee bosi wake wa zamani Magufuli aangalie jipu hilo aliwahi kabla halijapasukia kwenye shuka.Jiji wasikate tamaa mahakama zipo kutafsiri sheria,tutajua nani zaidi CAG,au Mafuru.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.