Siwaamini wamarekani kama wanasema drone waliyoituma Iran inauwezo wa kupita anga yoyote bila kuonekana sasa ilipigwa na nani huenda waliipiga wenyewe USA ili wapate sanabu ya kumshambulia Iran wara nyingi huwa wanatengeneza issue ya kuifanya dunia iamini wanavyotaka ili wafanye yao ni wanafiki sana
Huu ni ukandamizaji Kila mtu anahitaji kuwa na simu anazozitaka Mambo haya yamepitwa na wakati Uhuru wa mtu uko wapi Kama ni hivyo hats wenye magari mengi wawekewe sheria ya kuwa na gari moja tu pili huyu waziri hajatembea vijijini akaona watu tunavyopata tabu ya mawasiliano ajielewe asione Yuko...
Kinachoonekana Muheshimiwa Raisi hakuhitaji kuwa na mawaziri maana kila waziri anaeongelea kupitia majukumu yake hayuko sahihi sasa ni bora awaambie mawaziri wake hawana haki ya kuongea juu ya wizara yake mpaka yeye Rais apitie kile anachotaka kuongelea maana wamekuwa mawaziri vivuli tu
Ninachokikumbuka kwenye ile audio steve alimuuliza mama simu umeweka wapi akamjibu nimeweka .....hii inaonesha steve ndie aliempigia simu mama lakini kwenye maelezo anadai kupigiwa yeye steve sijui tushike lipi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.