Recent content by AlMasanta

  1. AlMasanta

    Njia 10 za kumtambua mwanamke asiyefaa

    Naunga mkono hoja, ila umenikera pale uliposhindwa kutofautisha 'h' na 'a' aaargh! Yaani unataka kusema 'ana' unasema 'hana', completely a NEGATION
  2. AlMasanta

    Gavana Luoga akitoa takwimu za mchango wa kanda ya ziwa kwenye uchumi wa Tanzania

    Tangu bia iondolewe kodi ni shiiida! Haya, hiyo 35 Trillion umeitoa wapi na wewe!
  3. AlMasanta

    Usimfanyie mtoto haya kama unataka kuwa mzazi bora na sio bora mzazi

    Mleta mada, Mimi nakuunga mkono kwa [emoji817] ila humu utakutana na upinzani mkali sana. Tatizo kubwa lililo kwenye jamii yetu ni kuwa wazazi wamekariri model ya malezi kwa watoto wao na model hiyo ni ile inayokandamiza uhuru wa mtoto kiasi kwamba akikua na kufikia umri wa ujana/utu uzima...
  4. AlMasanta

    Askofu Bagonza: Kuna kitu hakiko sawa

    Jifunze kuwa na heshima /adabu kwa wanaokuzidi (kielimu, kiakili, kihekima, kiroho, kiumri, nk) hata kama wewe ni MREFU naye MFUPI, tumia maneno yenye staha hata kama si asili yako.
  5. AlMasanta

    Naomba kufahamu maana ya neno ALUMNI

    Hahahahaaaaa! Haya bana, hongera sana!
  6. AlMasanta

    Naomba kufahamu maana ya neno ALUMNI

    ALUMNI sio ALUMIN Umeshajibu mwenyewe, yaani ni wanafunzi waliowahi soma kwenye chuo hicho, si lazima kiwe UDSM, ni kwa chuo chochote, unaweza sema waliowahi kuwa WANACHUO
  7. AlMasanta

    Simbachawene aagiza kukamatwa kwa Askari 5 wa Uwanja wa JNIA kwa uhalifu wa kusafirisha binadamu

    Nimesoma alichosema Waziri juu ya uhalifu unaofanywa na askari polisi wetu hapo JKNIA na nimejifunza jambo MOJA KUU: Askari wetu ambao pia ni WATUMISHI wa UMMA wana NJAA KALI, hivyo katika kuhakikisha wanaweza kujikimu wamegeuka kuwa WAHALIFU tena dhidi ya raia wanaotakiwa kuwalinda ikiwa ni...
  8. AlMasanta

    Lindi Liwale: Mama mmoja auawa kwa kupigwa risasi na polisi

    "Hata hivyo Aziza alikuwa nyuma ya Mawazo akijaribu kuwazuia polisi wasimkamate Mawazo" Hiyo sentensi inafikirisha. Kama Mawazo alikuwa na panga mkononi si mkewe angelenga kumnyang'anya kwanza baada ya kuona kuwa ni Polisi?
  9. AlMasanta

    Jioni moja miaka mingi iliyopita na Subhash Patel

    Umenikumbusha mbali sana Mzee Mwenzangu!
Back
Top Bottom