Recent content by allyramadhani67

  1. allyramadhani67

    Biashara ya simu used

    Shukrani boss tupo pamojo
  2. allyramadhani67

    Biashara ya simu used

    😃😃 boss ulikuwa Una nunua simu used za bongo nyingi za wizi pole sana ndio changamoto za upambanaji
  3. allyramadhani67

    Biashara ya simu used

    Ok. Sasa huko Mzee mtaji lazima ujipange kuna nauli ya kukwea pipa na macost mengine kibao
  4. allyramadhani67

    Biashara ya simu used

    Habari wapambanaji wa kutafuta ugali wa kila siku. Mpambanaji mwenzenu nimekuja kwenu mnijuze wapi naweza pata simu used za halali sio za wizi Kwa bei ya jumla nami nikafanya biashara. Sijajua wafanya biashara wa Kariakoo wanazitoa wapi na ukijaribu kumuuliza mfanya biashara yeyote Kariakoo...
  5. allyramadhani67

    Kama simu yako ni original chora huu mstari

    ______________________
  6. allyramadhani67

    Nauza toyota starlet bei poa kabisa

    Nne hailipi mwamba
  7. allyramadhani67

    Download kitabu cha James Hadley Chase hapa

    Shukran kaka ila naomba uweke vitabu vingine vya ujasilia mali
  8. allyramadhani67

    Njia za kuwa na maisha bora

    Ujumbe mzuri.. Thanks
  9. allyramadhani67

    Msaada: harufu ya kinywa na meno kuoza

    Je ulishawahi kumuona daktari wa meno
  10. allyramadhani67

    Ajali mbaya imetokea Ubungo

    Dah..hatari sana mungu afanye wepesi
  11. allyramadhani67

    Ajali mbaya imetokea Ubungo

    kuna maafa yoyote
  12. allyramadhani67

    Nakosa ujasiri wa kumnyonya papuchi, japo natamani sana

    Hahahaaa..kwa mfano unashikiwa panga uzame si unazama sasa unashindiwa nini sasa alafu isitoshe ni wife.
  13. allyramadhani67

    Mbinu hatari za kuhakikisha uko peke yako kwa mpenzi wako Kuepuka kupangwa foleni na kutapeliwa

    kila mtu siku hizi yupo talented mkibuni mbinu na sisi tunabuni za kwetu mpyaaaa!...
Back
Top Bottom