Nauza toyota starlet bei poa kabisa

Rajabu Msechu

Member
Apr 13, 2016
35
18
Hbr zenu wananchi wa JF, natumaini kwa uweza wake Maulana hatujambo.

Kama bango linavyojieleza, nauza gari aina ya Toyota Starlet.

Imelipiwa vibali vyote na ipo kwenye hali nzuri kabisa.

Nimeambatanisha na picha zake.

Bei inaanzia Milioni 6.3 - BEI INASHUKA

Nicheki kwa namba : 0717 36 05 05
 

Attachments

  • c1.jpg
    c1.jpg
    58.5 KB · Views: 365
  • c2.jpg
    c2.jpg
    60.9 KB · Views: 342
  • c3.jpg
    c3.jpg
    58.3 KB · Views: 317
  • c4.jpg
    c4.jpg
    52.7 KB · Views: 330
Hbr zenu wananchi wa JF, natumaini kwa uweza wake Maulana hatujambo.

Kama bango linavyojieleza, nauza gari aina ya Toyota Starlet.

Imelipiwa vibali vyote na ipo kwenye hali nzuri kabisa.

Nimeambatanisha na picha zake.

Bei inaanzia Milioni 6.3 - BEI INASHUKA

Nicheki kwa namba : 0717 36 05 05
Bado ipoo
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom