Recent content by Allute Iddi

  1. Allute Iddi

    Wengine wameshindwa kulipwa kwa kutojua kudai

    Sijawahi kulitumia neno hilo, ingawa huwa nalisikia sana watu wakilitumia. Lina maana gani neno hill?
  2. Allute Iddi

    Walimu wenzangu: Hivi ukiwa mwalimu ni lazima uvae manguo yasiyoeleweka, oversize na malonya?

    Kwangu mimi, walimu wote ninaowafahamu ni nadhifu. Mavazi yao ni kama vile wamezaliwa nayo kwa jinsi yanavyowapendeza.
  3. Allute Iddi

    Walimu wenzangu: Hivi ukiwa mwalimu ni lazima uvae manguo yasiyoeleweka, oversize na malonya?

    Hakuna kazi nzuri kama ualimu. Mwalimu always ni smart. Ni smart kwa mavazi na pia ni smart hadi kichwani kwake
  4. Allute Iddi

    Happy Birthday: Jiunganishe na mtu ambaye amezaliwa mwezi mmoja, siku moja na wewe

    Ungechelewa kwa siku mbili tu, hadi 22 January, tungekuwa wote.
  5. Allute Iddi

    Nyumba na viwanja Dodoma

    Mkuu, nitakutafuta.. Asante sana
  6. Allute Iddi

    Nauza simu One plus 3t

    Aisee! Oneplus, simu ya ndoto yangu. Niliwahi kuwa na Oneplus One, hongera sana kwa vijana wa Msamvu Morogoro wakaondoka nayo. Oneplus, hiyo ndio simu hasa. Tatizo, mfukoni nimekaukiwa.
  7. Allute Iddi

    Vitabu vya Literature kwa bei ya jumla

    Kama upo Arusha, tembelea Kase Bookshop.
  8. Allute Iddi

    Azam FC imewatimua makocha wake wote raia wa Hispania

    Wamechelewa sana kuchukua uamuzi huo. Wale hawakuwa makocha bali waganga njaa tu. Azam FC wamchukue Pluijim au Micho wa The Craines
  9. Allute Iddi

    Pongwe Islamic Girls Sec School

    Hongereni sana.
  10. Allute Iddi

    Gari Toyota Noah inauzwa, milango ya mazungumzo ipo wazi

    Noah imetulia sana hiyo. Ila Kilomita 176, 212, naona kama imekula sana lami. Milioni 7 hivi tunaweza kuongea kiongozi?
  11. Allute Iddi

    Become A Satellite Tv Installar; Make Money installing DSTV,AZAM,FTA

    dsat technology kaanzisha uzi, twaleeb akauingilia na kuuvuruga kuwa yeye anaweza kutoa Elimu bure. Sasa unakuja na hoja kuwa wadau wanakushauri eti mafunzo uyatoe kwa ada kidogo. SIAMINI.
  12. Allute Iddi

    Lowasa na CHADEMA wanatofautiana kauli

    Ninampa pole sana aliyekufundisha sarufi. Watu kama wewe Magonjwa Mtambuka, huwa mnasababisha walimu watukanwe.
  13. Allute Iddi

    Lowasa na CHADEMA wanatofautiana kauli

    Ushauri wangu kwako ni huu: Muda unaoutumia humu jf, ni bora ungeutumia kujifunza kiswahili. Neno WANAKINDHANA halipo kabisa katika kamusi ya kiswahili. Au mwenzetu, una kithembe hadi vidoleni??
  14. Allute Iddi

    Msaada: Nina Tsh 15m, ninaweza kupata RAV4?

    Ushauri wa ndugu hawa ni mzuri zaidi. Kwa kiasi hicho, unapata gari zuri sana Japan
  15. Allute Iddi

    Mapenzi yetu katika siasa yanatuondolea hata uwezo wa kufikiri

    Kama nimemuelewa vizuri mleta uzi, ni kwamba tupo watu ambao tupo tayari kulikata tawi la mti linalotupa support. Au pia tupo tayari kuking'ata kidole kinachotulisha.
Back
Top Bottom