nicheki kupitia namba +255675953263Thx na nikihitaji kumleta mtt?
kwa mkoani ni kupanga tuu mkuu. ila sasa kwa Hapa Dar itakuwa Training ambayo ni endelevu.Kwa mikoani vp?
Kwa mikoani vipi mkuu?
Niko Tanga
Thx na nikihitaji kumleta mtt?[/QUO
usijali tuwasiliane.
ww ndo unakosea coz huko c kusaidia ni kukomoa taaluma km ya cctv ama dish c ya kumlipisha mtu coz hata ww najua umeipata bure ss kwann ulipishe mtu na km unahitaji kumlipisha punguza gharamaKaka Twaleeb , unakosea mkuu.
Mkuu umeongea ukweli manake dah ukizingatia hii kazi kwa asilimia kubwa wengi wetu tumejifunza kiutundu utundu.ww ndo unakosea coz huko c kusaidia ni kukomoa taaluma km ya cctv ama dish c ya kumlipisha mtu coz hata ww najua umeipata bure ss kwann ulipishe mtu na km unahitaji kumlipisha punguza gharama
huu ndio uzalendo tunaoutaka maana ss kama vijana wa kitanzania tusiposimama sisi kwa sisi nakuamua kushikana mkono na kusaidiana hatuwezi kusonga mbele... ukimsaidia mtu kama mr. twaleeb anavyojaribu kufanya hata akifanikiwa kama naye ni muungwana hawezi akakusahauww ndo unakosea coz huko c kusaidia ni kukomoa taaluma km ya cctv ama dish c ya kumlipisha mtu coz hata ww najua umeipata bure ss kwann ulipishe mtu na km unahitaji kumlipisha punguza gharamahuu
Kwa mikoani vipi mkuu?
Niko Tanga
Ahsanteni wadau mliokuja inbox na kunipa moyo ila kuna wengine wameomba nifungue darasa kuhusu dish cctv na niweke angalau ada kidogo nimeona nililete kwenu km mtaliafiki mupange wenyew ada na kila kitu ila mahali darasa litakapokuepo ni kigamboni shukran sana
na ndo maana nimerudisha kwenu mupange wenyew ila mm cna shida ya kulipwa anaehitaji aje nitamfundisha buredsat technology kaanzisha uzi, twaleeb akauingilia na kuuvuruga kuwa yeye anaweza kutoa Elimu bure.
Sasa unakuja na hoja kuwa wadau wanakushauri eti mafunzo uyatoe kwa ada kidogo. SIAMINI.
Mr twalibu naomba unipe faida kubwa ya kujua elimu hiina ndo maana nimerudisha kwenu mupange wenyew ila mm cna shida ya kulipwa anaehitaji aje nitamfundisha bure
Hata Mimi naomba kujua elimu hii unapatikana wapi
Mr twalibu naomba unipe faida kubwa ya kujua elimu hii