Kwanini wagombea wengi wa vyama vya upinzani wameenguliwa?
Hawakuwa na maarifa/uelewa wa kujaza fomu?
Wengi wao wamerudisha form zikiwa kilema (baadhi ya vitu muhimu havikujazwa wala kuambatishwa)
Viongozi wao wa juu walikua wame-base sana kwenye mitandao ya kijamii na sio kuwaeleimisha...
Suala hili lilianzia KENYA kwa baadhi ya wadau kuishitaki safaricom, na wako katika mchakato mzuri wa kuifanikiwa. Ni vizuri kuAdapt walichokifanya wakenya but ushauri wangu kwako inabidi ufuatilie kwa undani kuhusu business law ya telecommunications company kwasababu na wao wenyewe wana-operate...
Kutokana na match ya jana ya Egypt vs Tanzania jana, nini umejifunza? nini umekona? unahis kocha wetu ashauriwe kitu gani ili michuano ikianza rasmi tusitoe boko?
Cus midfield ya jana mimi naona kama haijafanya kitu kwakweli...feisal toto, mao dah naona kama walipoteana kabisa
ofcourse wamefanya jambo zuri kwa kupanua wigo wa kuhudumia wateja wao, ila nawashangaa sana wametoa namba moja tuu ambayo itakua
inawahudumia wateja wote ambao kwa Tanzania ni zaidi ya milioni 3, watawezaje kuwahudumia wateja wote hao kupitia namba moja? je watakua na
uwezo wa kujibu papo...
Bongo ni nchi ya matukio, kila siku linakuja jipya na kiki yake na kufanya la jana kusahaulika.....But all in all it is the making of a TIME (TIME inafanya mtu/jambo la muhimu kukumbukwa daima na hufanya jambo/mtu asiye na umuhimu kusahaulika mapema sana) 😂😂😂
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.