Si mlisema ni mr Zaifu ?au sio nyie bavicha?Jakaya Kikwete alikuwa Raisi Bora kuwahi kutokea katika Miongo ya hivi Karibuni.
Mkuu una nyuzi kibao hapa jukwaani, nazo ukiziaangalia ni uhanithi mtupu, unamsifia mwanaume mwenzio mpaka unageuka kuwa kama shoga!
Mkuu anapiga kampeni huyu jamaa hajiamini anajua 2020 mziki utakua mnene.
CAGCIG?!!!
Mzee wewe hujaona..Rais anaenda mahali anakuta wananchi wanamsubiri njiani (sio kwenye mkutano hata aliopanga kwenda) anatoa milioni 5( sio kwenye mshahara wake wa milioni 9 kwa mwezi) kwingine anaahidi milioni 200, kwingine anaahidj barabara ya mabiilioniNapenda ufahamu tu kila kitu Tanzania kipo kwenye mipango, yani kila kijiji unachokigusa kina mipango yake ambayo tayari inafahamika serikalini. Inaweza ikawa shule, zahanati, barabara, soko, etc.
Hapo kuna mipango inayohitaji budget, kama barabara, na mipango inayohitaji ujenzi kwa wananchi kushirikishwa kama zahanati na shule.
Hivyo anachotoa raisi kina symbolize mchango wa serikali kwenye huo mradi.
Mind you raisi hatoi mchango from nowhere, lazima keshapewa briefing huko tunapoenda tegemea wananchi/viongozibwatakwambia abc, tayari anakuja anajua mnachohitaji.
Kama mihanithi mingine inavyomsifia mboe
Hivi zile bilioni 50 alizoagiza ziende kuwalipa wakulima wa korosho kule mtwara zineshaenda,au hakuwa ameiagiza wizaraSijakuelewa..! yani Wizara ipotezee Agizo la Rais?
sasaMilion 5 katoa kama mchango tu pale anapokuta kuna shughli ya kijamii wananchi wamejitolea kufanya nayeye anawachangia.
Kuhusu ujenzi wa Barabra inabidi kwanza ujue kuwa Bajeti ndiyo inaenda kuandaliwa anavyopita huko akitoa ahadi na akaagiza kwa Wizara husika ujue wananote then wataitumbikiza kwenye bajeti ya mwaka 2019/2020 katika Wizara ya ujenzi itakayosomwa hivi karibuni.
Haya ni matokeo kwa jinsi shuleni, ulivyokuwa bize kuuza bagia za walimu.Milion 5 katoa kama mchango tu pale anapokuta kuna shughuli ya kijamii wananchi wamejitolea kufanya nayeye anawachangia.
Kuhusu ujenzi wa Barabra inabidi kwanza ujue kuwa Bajeti ndiyo inaenda kuandaliwa anavyopita huko akitoa ahadi na akaagiza kwa Wizara husika ujue wananote then wataitumbikiza kwenye bajeti ya mwaka 2019/2020 katika Wizara ya ujenzi itakayosomwa hivi karibuni.
Embu Toa sababu moja tu kuhalalisha madai yako. Moja ambayo unaamini kwa sababu hii lazima huyu raisi ni ovyo.jakaya ovyo kuliko wote katika uongozi ila ana sura nzuri na maneno laini
Inaelekea hata mchakato wa kuandaa bajeti huujui. Bajeti inayoendelea sasa imeandaliwa muda mrefu, sema kwa utaratibu wa sasa bunge linapoteza muda tu.Milion 5 katoa kama mchango tu pale anapokuta kuna shughuli ya kijamii wananchi wamejitolea kufanya nayeye anawachangia.
Kuhusu ujenzi wa Barabra inabidi kwanza ujue kuwa Bajeti ndiyo inaenda kuandaliwa anavyopita huko akitoa ahadi na akaagiza kwa Wizara husika ujue wananote then wataitumbikiza kwenye bajeti ya mwaka 2019/2020 katika Wizara ya ujenzi itakayosomwa hivi karibuni.
Mkuu wa kaya anatembea na plan za nchi kwenye mfukoni wa suruali.Nafuatilia mikutano ya Rais Magufuli Mbeya
Kitu nilicho observe ni kuwa Rais akifika mahali njiani akiona kuna wananchi wengi wanamsubiri, basi yeye hufurahi sana na kuwagawia hela mara kadhaa milioni 5 ndio naona anagawa mara nyingi
Kuna sehemu nyingine kapita tena kaona kina wananchi wanamsubiri kwenye mvua akawaahidi barabara sababu wamemfurahisha sana
Sasa ninachojiuliza ina maana Rais hana plan au bajeti ambazo zipo pre determined kutokana na umuhimu wake na kuzipa hela bali yeye anagawa tu hela kutokana na mzuka ambao wananchi watampandisha?
Tukiachana na hizo za milioni 5 nyingi, kuna milioni 400 kaahidi za zahati, kuna barabara ya nabilioni kaahidi tena baada ya kuona wananchi wamemsubiri kwenye mvua
Nashangaa hivi hakuna mipango ya kujenga barabara fulani kutoka na umuhimu wa hizo barabara bali Rais anagawa tu miradi ya barabara baafa ya wananchi kumfurahisha?
Huyu mmemtoa wap mkamleta humu Jfjakaya ovyo kuliko wote katika uongozi ila ana sura nzuri na maneno laini
Kura zoteHayo ni yako ila leo tukimuweka jaakaya na Magufuli Watanzania watamchagua Kikwete kwa kura nyingi sana.
Hadi ww umemwonaMnakosa vitu vya kuandika vya msingi mnaandika upuuzi mtupu...