alliJAY4_four
Senior Member
- May 4, 2017
- 173
- 94
Kwanini wagombea wengi wa vyama vya upinzani wameenguliwa?
- Hawakuwa na maarifa/uelewa wa kujaza fomu?
- Wengi wao wamerudisha form zikiwa kilema (baadhi ya vitu muhimu havikujazwa wala kuambatishwa)
- Viongozi wao wa juu walikua wame-base sana kwenye mitandao ya kijamii na sio kuwaeleimisha viongozi wao wadogo wa mitaa?
- Wananchi wamechoka propaganda za upinzani zisizokua na tija?
- …….
- ……..
- ……..