Kumbe ndg zetu mnaoishi ughaibuni ndivyo milivyo?yaani usd 6000 tu jaman?milion tisa na laki tisa za kitanzania zinawashinda kweli?sasa mnachojitapa ni nini?shame on you!mnasikitika unafiki tu?BADO ZAMU YENU SASA nyie hamtachomwa mtatupwa kama mmbwa!
Mleta uzi sina uhakika sana na uelewa wako kuhusu maswala ya kiusalama.
Tanzania sio nyepesi kijeshi kama unavyodhani,nikuhakikishie katika ukanda huu wa maziwa makuu Tanzania ipo juu sana.Tanzania isingechukua siku tatu kukabiliana na wajinga kama hawa.Siasa wekeni pembeni jadilini mambo ya...
Hivi Mandela,Nyerere walisomeshwa na serikali gani?Tukumbuke hawa wazee wetu walisoma chini ya serikali za kikoloni!
Sasa iweje wakazipinga na kuzing'oa madarakani serikali zilizowasomesha?
Huyu mzee hajitambui!
Sasa kama chagonja aliongea na Mh Lema siku moja kabla na Lema akamwambia polisi hawahusiki,leo wanasema Mbowe na Lema wametoroka how?
Kwanini wakati Lema na Mbowe wanaongea nae wasikamatwe hapo?
Nina wasiwasi sana na huyu jamaa!
Watajuta tu walichofanya,watajikanyaga mwisho watatuambia...
Wadau najitokeza leo kwa mara ya kwanza hapa JF kujaribu kuwashirikisha wakuu mnisaidie ufafanuzi kuhusu jambo hili ambalo nimelitafakari kwa siku kadhaa bila kupata jibu.
Nakukumbuka juzi Mh spika wa wa bunge Anne makinda aliahirisha mjadala wa bajeti ya wizara ya maji akiitaka serikali...
Never before in my life history has ever there such a noble and pressing task,
The accomplishishment which must be the common course
No sucrifise is too great no burden is too heavy for the achievement of our goal
Let us fight for revolution in a solid and militant chain and nothing under the...
Mbona mnampa umaarufu huyu mtu?
Yaani huyu mtoto bado sana,labda miaka ishirini mbele,
Hawezi kupambana na chadema!
Mi mwenyewe nimemjua humu jf mwezi mmoja uliopita!
WAKUU
NAOMBA TUFUNGE MJADALA UNAOHUSIANA NA HUYU MTOTO!
MWACHENI AELEKEE KUZIMU ndio alikochagua sisi tuendelee na harakati...
Shonza usijipe kiburi na umaarufu wa mitandaoni we bado sana,kumfikia mnyika ni miaka mia mbele.
Tulia!umeshapoteza timing!we endeleza siasa zako za njaa huko ulikohamia usubiri upotezwe kama wenzako!
Utakuja kujutia maamuzi yako baadae
2015 sio mbali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.