CCM yaichinja CHADEMA Singida

CCM yaichinja CHADEMA Singida

mmkhotya ina maana hao 275 walikuwa ni CHADEMA tu ndio umewaona watu njiti i mean abnormal ni wengi sana
 
CCM wanatia huruma sana kwa ujinga wao huu na utoto!!!!
 
Katika maadhimisho ya miaka 36 ya kuzaliwa kwa CCM. Wanachama 275 wa CHADEMA wamehamia CCM mkoani Singida. CCM YANG'AA ZAIDI

Ukifuatilia idadi hizi zinaxotajwa na vyama kuhusu kuhama kwa wanachama kwa sasa vyama vingine visingekuwa na wanachama! Hii ni propoganda ya kizamani muno. Hata hivyo cha muhimu watu watapigaje kura na siyo lazima nikiwa na kadi ya CCM au CHADEMA niipigie kura.
 
Katika maadhimisho ya miaka 36 ya kuzaliwa kwa CCM. Wanachama 275 wa CHADEMA wamehamia CCM mkoani Singida. CCM YANG'AA ZAIDI

Watu Wanaohamia CCM Sasa Hivi Lazima Watakuwa Na Matatizo Ya Akili.
 
Propaganda hiyo haitunyimi usingizi tena mana tunajua haiwezekani Ccm tena kuongeza wanachama badala yake wale vikongwe wanapungua,mpaka 2014 hakuna kitu kama mumekosa wakuwapa zile kadi mlizochapisha gawaneni nyie
 
Katika maadhimisho ya miaka 36 ya kuzaliwa kwa CCM. Wanachama 275 wa CHADEMA wamehamia CCM mkoani Singida. CCM YANG'AA ZAIDI

Uchakachuaji kila mahala.

Tengeneza kadi za cdm, zigawe kwa watu weka sherehe ya usanii wa kuzirudisha
 
Hivi zile kadi Feki laki moja mlizochapisha za Chadema mmeshatoa ngapi? Nasikia kila mkoa mmesambaza za kutosha.

A very well said , hilo ndiyo ambalo huyo Mkhotya , sijui nani vile , hajatambua ! kuna Stationery moja Hapa Kariakoo ndiyo ilipewa hiyo kazi ya kuchapisha hayo Makadi Feki ya Cdm , chini ya usimamizi wa mhuni mmoja kutoka hukohuko Singida .
 
upuuzi mtupu huu
wananchi wanataka kujua kero zao na ahadi zao mnatekeleza au hamtelekezi
hata hivo mshapoteza dira na hizo kodi tunajua mmezichonga tu
hakuna mwenye akili atakaehamia CCM KWA SASA LABDA AWE MGONJWA WA AKILI ASIEJUA NI NINI KINAENDELEA
 
Kaka kwa muda huu hakuna atakayekusikiliza na vipropaganda vyako feki. Tunahitaji mutatue kero zetu nyie maccm sio mnaleta mambo ya umbea hapa. Tumechoka na umbea wenu.
Yaani mtu mzima umekaa kabisa unaleta upuuzi huu huku unajua nini kinaendelea? Huu sio mpango sepa bana.

Wewe mwenyewe ni kero. Tutakutatuwa tu.
 
NYIE WADAU, CCM WANATIA HURUMA SANA, WAACHENI WAENDELEE KUJITEKENYA UKU WAKIANGUA KICHEKO, KADI IZI ZA CHADEMA WANAZONYING SANA WALIZOZICHAPISHA IVO UANDAA WATU NA KUWAPA WA.ACT KM NDO WANAZIRUDISHA WALA HAWATURUSHI ROHO, KWAN WE KNOW WATs GOING ON.
MPANGO HUU WA KIJINGA UMEKWAMA MAJUZ MWEMBE TOGWA KULE IRINGA NA KUISHIA KUMUUMBUA PIA KUMUAIBISHA MANGULA WAO KIJEBA.
INSHORT WATANZANIA WENGI VIJANA BARUBARU TUNAOPIGIKA KWA SERA ZA MAFISADI WA CCM, NA WOTE TUKO CHADEMA TKISUBILI UKOMBOZi WA KISHINDO NA WA UKWELI APO 2015
 
Katika maadhimisho ya miaka 36 ya kuzaliwa kwa CCM. Wanachama 275 wa CHADEMA wamehamia CCM mkoani Singida. CCM YANG'AA ZAIDI

Kwa hiyo title yako unataka kutuambia CCM ni waislam na wana haki ya kuchinja? Usituletee story za kipuuzi watanzania hatuhitaji vyama kuchinjana, tunahitaji mabadiliko ya kweli ktk ukombozi wa kiuchumi na kuwapunguzia wananchi umasikini. Unazungumzia SGD ambayo ni kati ya mikoa iliyo nyuma ktk kila sekta na wananchi walio wengi wanaishi kwenye vichuguu. Acheni kutumia ughaifu wa kielimu na kifrikra wa wana SGD kujinufaisha kisiasa
 
CCM mwanzo mwisho.Hakika mpaka uvute Bangi ndo unaweza ukawa mwanachama wa Chadema.Copy kwa lema na Sugu
 
Last edited by a moderator:
CCM mwanzo mwisho.Hakika mpaka uvute Bangi ndo unaweza ukawa mwanachama wa Chadema.Copy kwa lema na Sugu
Siamini kama kuna mtu mwenye akili timamu na asiyefaidika na ufisadi anaweza kushabikia ccm! Tafakari chukua hatua utashangaa sana siku si nyingi kama ulikuwa unafaidi matunda yake anza kujizoesha kula kama masikini maana mwisho wake haukombali!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom