Recent content by allan_joh

  1. allan_joh

    Wote wanaomshabikia Cristiano Ronaldo hawajui mpira na ni Wakengeukaji

    Ronaldo ni mchezaj bola wa dunia MESSI ni mchezaji bola wa ULIMWENGU
  2. allan_joh

    Sio kweli kuwa Mnyika ndio amesababisha mahakama kutoa zuio la bomoabomoa Morogoro road

    ndugu apo uliposema hakuna msaada kutoka kwa kiongoz yeyote wa siasa nimepata hofu juu ya ukwel wa uliyo yaandka.. DIWAN WA KATA YA SALANGA(kimara mpaka kibanda cha mkaa) alikua bega kwa bega na wananchi kuanzia siku notes zimeanza kutolewa,,,
  3. allan_joh

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    baba wa taifa Kambalage tuzd kumuombea apumzke kwa amani
  4. allan_joh

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    ngumu ni hip hop inayofanywa na one inclidble,nash n.k
  5. allan_joh

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    sukari adim kama viroba cku izi
  6. allan_joh

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    mvumilivu hula mbivu
  7. allan_joh

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    hatulimi kwasababu hakuna mvua
  8. allan_joh

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    mwenyewe akijua lazima atahamaki
  9. allan_joh

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    usafir wa punda ni bora kuliko mwendo kasi wa udart
  10. allan_joh

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    nalo limekua gari bora kati ya yote yaliyo shindanishwa
  11. allan_joh

    MSAADA:NAWEZAJE KULUDISHA INSTAGRAM HACKED ACOUNT

    habari wana jamvi!! kuna acount ya mtu instagram imekua hacked,imebadilishwa email iliyotumika kufungulia acount(linked email) na password pia imebadilishwa,user name ndo halijabadilishwa.. msaada wenu tafadhari..
Back
Top Bottom