Recent content by All about Tanzania life

  1. All about Tanzania life

    MREJESHO: Niliomba ushauri juu ya sehemu sahihi ya kutoa fungu la kumi

    Naweza kujua hicho kituo, nakusudia kufanya hivyo pia ♥️
  2. All about Tanzania life

    Kwanini Watanzania hawapendi kusafiri?

    Jambo moja gumu zaidi ni kutokuwa na kipato cha kutosha, mtu anayelipwa laki tatu au chini ya hapo atawezaje kumudu ghalama za maisha na kusafiri pia? Hali ngumu ya maisha ndio inayowafanya watanzania wengi kusafiri kuonekane jambo la ajabu kabisa.
  3. All about Tanzania life

    Safari yangu kutembelea Mwanza jiji la miamba

    Habari. Nimepata wasaa sasa wa kuendelea pale nilipoishia mwanzo. Kumbuka kuwa habari hii ni simulizi za kweli kwa asilimia 100% hivyo unaposoma hapa jua kwamba unasafiri pamoja na mimi katika kila njia ya kweli niliyopitia. Ahsante na karibu sana hapa😊 Tunaendelea.... Baada ya kufika katika...
  4. All about Tanzania life

    Wanaume kuwa na tabia za kikekike ni janga linaloikumba Nchi yetu

    Mtibeli mkuu Robert. "Ukoo wetu unaenda kuwa mkubwa zaidi ya mbegu ya haradali katika ufalme wa bacteria" 😊.
  5. All about Tanzania life

    Safari yangu kutembelea Mwanza jiji la miamba

    Naandaa muendezo hapa, utakuwa hapa muda sio mrefu.
  6. All about Tanzania life

    Safari yangu kutembelea Mwanza jiji la miamba

    Hiyo ni nje ya mpango wangu. Japo niliyoyaona nitayawasilisha hapa. Ahsante.
  7. All about Tanzania life

    Safari yangu kutembelea Mwanza jiji la miamba

    Usihangaike sana. Utambulisho wangu upo wazi kabisa hapa. Ni kama member wengine wanaotumia utambulisho wao halisi na ndivyo na mimi ilivyo hapa. " kila kitu kipo wazi, karibu sana😇"
  8. All about Tanzania life

    Safari yangu kutembelea Mwanza jiji la miamba

    Katika mpango wangu wa kuwahamasisha watanzania kutembelea vivutio mbalimbali ndani ya nchi yetu, kutembelea mikoa na maeneo ya kihistoria niliamua pia kujaribu kufikia sehemu hizo kama mfano kwa watu wachache wanaofikiwa na ujumbe huu. Habari!! Mwishoni mwa mwezi wa nane tarehe 28 nilianza...
  9. All about Tanzania life

    Bodi ya Utalii Tanzania: Hatujamtuma Mwijaku Kutangaza Utalii Mitaani Ujerumani

    Hii inatuacha na mshangao kidogo. Tutapaswa kujua kila kitu tunachokifanya kwaajiri ya nchi yetu, ili tusije kuingia matatani kwa kujitoa kwetu.
  10. All about Tanzania life

    Safari yangu Nyanda za Juu Kusini mwa Tanzania

    Habari. Imenichukua muda mrefu kidogo kuweka hapa mwendelezo wangu wa safari kutembelea mikoa ya nyanda za juu kusini mwa Tanzania kwa sababu kadhaa zilizokuwa nje ya uwezo wangu. Leo rasmi nimeanza mwendelezo wa masimulizi haya ya safari zangu huku nikiwa naandaa habari mpya kuhusu maeneo...
  11. All about Tanzania life

    Safari yangu Nyanda za Juu Kusini mwa Tanzania

    Mwendelezo utakuwa hapa siku ya leo.
  12. All about Tanzania life

    Safari yangu Nyanda za Juu Kusini mwa Tanzania

    Ni jambo zuri, hasa kutembelea maeneo mbalimbali ya karibu na yanayopatikana hapa hapa nyumbani Tanzania.
  13. All about Tanzania life

    Safari yangu Nyanda za Juu Kusini mwa Tanzania

    Inaweza kuwa sahihi kabisa kwa kweli.
Back
Top Bottom