Jambo moja gumu zaidi ni kutokuwa na kipato cha kutosha, mtu anayelipwa laki tatu au chini ya hapo atawezaje kumudu ghalama za maisha na kusafiri pia?
Hali ngumu ya maisha ndio inayowafanya watanzania wengi kusafiri kuonekane jambo la ajabu kabisa.
Habari. Nimepata wasaa sasa wa kuendelea pale nilipoishia mwanzo. Kumbuka kuwa habari hii ni simulizi za kweli kwa asilimia 100% hivyo unaposoma hapa jua kwamba unasafiri pamoja na mimi katika kila njia ya kweli niliyopitia. Ahsante na karibu sana hapa😊
Tunaendelea.... Baada ya kufika katika...
Usihangaike sana. Utambulisho wangu upo wazi kabisa hapa. Ni kama member wengine wanaotumia utambulisho wao halisi na ndivyo na mimi ilivyo hapa. " kila kitu kipo wazi, karibu sana😇"
Katika mpango wangu wa kuwahamasisha watanzania kutembelea vivutio mbalimbali ndani ya nchi yetu, kutembelea mikoa na maeneo ya kihistoria niliamua pia kujaribu kufikia sehemu hizo kama mfano kwa watu wachache wanaofikiwa na ujumbe huu.
Habari!! Mwishoni mwa mwezi wa nane tarehe 28 nilianza...
Habari. Imenichukua muda mrefu kidogo kuweka hapa mwendelezo wangu wa safari kutembelea mikoa ya nyanda za juu kusini mwa Tanzania kwa sababu kadhaa zilizokuwa nje ya uwezo wangu.
Leo rasmi nimeanza mwendelezo wa masimulizi haya ya safari zangu huku nikiwa naandaa habari mpya kuhusu maeneo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.